Mzalendo wa nchi yetu ajitokeza na kuwakemea CHADEMA

Mzalendo wa nchi yetu ajitokeza na kuwakemea CHADEMA

Wacha tushikane uchawi sasa
Ni suala la utawala wa sheria tu Kaka. Rama hayuko juu ya sheria na wala hakuna anayeingilia mhimili mwingine.
20190825_084821.jpeg
 
Dini zote zinafundisha na kuelekeza wafuasi wake kuwa " Mpende jirani yako kama unavyojipenda" " Mfanyie mwingine vile unataka ufanyiwe"

DAWA YA DENI KULIPA

Serikali ya magufuli inataka kulipwa madeni na washirika wake kwa namna yeyote kwa hiari na kwa nguvu, mfano: Wafanyabiashara kodi juu, huwezi funga biashara yako. Wawekezaji, urasimu na Kofi juu. ACACIA, kama hamtoi NOAH kwa kila Mtanzania ondokeni au muuze kampuni kwa wanaokubali kulipa deni bila kujali mkataba. Wakulima Wa korosho na sasa wakulima Wa pamba ni shida.

Deni LA Siku nyingi SAA kwa nini asilipe?

Kama anahela ya kujenga SGR na Bwawa la umeme kwa nini asilipe deni?

Wachina wanajipanga kukamata barabara zote walizotujengea kwa mkopo, kisa wamechukia tunavyosema tunajenga hizo barabara kwa pesa zetu.

Tujiandae kudhalilishwa kwa hiyo mikopo tunayoichukua kimyakimya.
Na Mbowe nae alipe madeni yake
 
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Kwani Rais mpya akiingia huwa ana rithi mkeo? Akili za kijinga sana hizi
 
Huyu ni Pimbi siyo Nyumbu ila tabia zao zinashabihiana.
FB_IMG_1516029062633.jpeg
 
Nyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.
Kwa hiyo tufanyeje? Tulieni dawa ipenye
 
Waje kukamata na stiglazi goji kabisa, wagum sana kulipa madeni nyie kijani
 
Lakini si mnasema ni ndege za magufuli? Hizo ni kauli zenu wenyewe huyo kawakumbusha tu
Mkuu ni wapuuzi tu.

Ana mazuri yake ana mabaya yake JPM.

Chuki binafsi iwe za kikanda au kidini na kichama zimo ndani ya vifua vya wapuuzi.
 
Back
Top Bottom