Ndege kwani ni za watanzania au ni ndege za ccm?
Za mwenyekiti thus hatujawhi onyeshwa hata risiti za malipo,wala CAG mwakilishi wetu ajawahi ruhusiwa hata kuzikagua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndege kwani ni za watanzania au ni ndege za ccm?
Hawa watu wanastahili kuwaita majina yote mabaya zaidi ya wajinga.
Kila jambo baya linalotokea ukichunguza tayari walishaonywa sana na wabunge wa upinzani lakini wanaishia kuwakebehi na kusemea sio wazalendo.
Sasa hapo Kubenea kumbe deni hili alilisemea na hatari ya ndege kuja kushikwa lakini akapuuzwa!
Sasa kama sio upumbavu ni nini? Hawa tuwatoe madarakani hata kama ni kwa nguvu kisha waburuzwe mahakamani wote. Marabuk!
Ule ushauri wa kuziuza ili tulipie madeni na huduma za jamii ulikuwa mzuri.Ngoja tusubiri akistaafu tuone zitapaki chato???
Ule ushauri wa kuziuza ili tulipie madeni na huduma za jamii ulikuwa mzuri.Ngoja tusubiri akistaafu tuone zitapaki chato???
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Nani kakudanganya kuwa dawa ya deni ni porojo?Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Ninyi mnaposhangilia ya Lissu tuwaitaje...dawa ya deni ni kulipa.
..ccm huwa wanashingilia cdm wakipigwa na vyombo vya dola, au wakihukumiwa kwa kesi za kubambikizwa.
Muhimili wa kutoa haki unaheshimiwa kule bondeni sio kama kwenye Chiefdom yetu.Ramafosa kumbe ni balaa yani zile sifa na mbwembwe zote za kutupamba ilikuwa ni chambo tu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Ninyi mnaposhangilia ya Lissu tuwaitaje...dawa ya deni ni kulipa.
..ccm huwa wanashingilia cdm wakipigwa na vyombo vya dola, au wakihukumiwa kwa kesi za kubambikizwa.
Tukemee mashoga kama huyu emategeHii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Hii imekuja baada ya chadema kugeuka chama cha kushangilia mabaya yote yanayoitokea nchi, mfano kukamatwa kwa ndege, kunyimwa misaada na korosho kukosa soko.View attachment 1189315
Kama ni ccm hii nitamwita mpumbavu. Acha Lissu, hata mjomba wangu atastahili kuitwa hivyo. Labda pale ccm itakapo rudi kuwa chama cha siasa na sio genge la majambazi kama sasaHivi kesho lissu akijiunga ccm utamwita jina gani.
Mjomba chutamaNyie akili zenu ziko kwenye tundu za kinyesi. Lissu ama Mtu mmoja ni kitu gani mbele ya Taifa. Mnafurahia Ndege kuzuiwa, hamjui kuwa kesho huyu Lissu wenu akibahatika kuwa Raisi, anarithi madeni yote ya serekali ya awamu iliyopita.