Mzambia aliyetumika kuisaidia Urusi kwenye vita, kuzikwa Zambia

Mzambia aliyetumika kuisaidia Urusi kwenye vita, kuzikwa Zambia

Haya marlezo yanatosha. Kijana alitaka kununua uhuru wake.

BAD LUCK, he was a hero to himself!!

Watu weusi wanahitaji maelezo gani??

Utawapelekaje wafungwa wakapigane, ni aibu sana, jameni maustadhi, hata kujadili hili mnapaswa muingiwe na aibu
 
Unaijua Wagner kwanza??

Kakusanyeni matakataka yote ila yatauliwa tu, hata kule kwa Kim kuna hawa mkawalete maana mumefyekwa balaa...

1.bmp
 
Utawapelekaje wafungwa wakapigane, ni aibu sana, jameni maustadhi, hata kujadili hili mnapaswa muingiwe na aibu
Sheria inaruhusu, wafungwa wananunua uhuru kwa kuwa wazalendo na kuipigania nchi..

Kijana kaichangamkia fursa, kala ajira vitani.
bad luck amefariki.

Sheria zinaruhusu.. kipi special???

Wale mercenaries wamefyekwa mbona nao ni wa kubumba?
 
Sheria inaruhusu, wafungwa wananunua uhuru kwa kuwa wazalendo na kuipigania nchi..

Kijana kaichangamkia fursa, kala ajira vitani.
bad luck amefariki.

Sheria zinaruhusu.. kipi special???

Wale mercenaries wamefyekwa mbona nao ni wa kubumba?

Sheria ya liinchi la kijamaa inaruhusu mengi na ndio maana marusi sio kama wazungu wengine, yamekaa kizombi zombi utadhani wale waarabu wenu.
Sema aibu iko pale kwamba supapawa amelemewa mpaka anafuata wafungwa wakapigane, wanajeshi wake wamefyekwa hadi anafuata wanywa gongo mitaani.
 
Kwa hivyo Urusi amelemewa mpaka anatafuta maskini wa Afrika wampiganie....
Tatizo waarabu wa Afrika wengi wenu hamtaki kujitolea, mnapiga makelele humu tu...cc: Bwana Utam
Tumeambiwa Deni la Taifa linajumuisha deni la serikali na deni la watu ama mashirika binafsi. Hii ni sawa na kujumlisha deni la serikali (jeshi la Russia) na deni la watu/ mashirika binafsi (Wargnar Group/PMC) kupata deni la Taifa (carrying out Demilitarization and denazification operation in Ukraine)
===
Kwa sababu ya Ibishi sitakushangaa ukipinga hili.
 
Haya marlezo yanatosha. Kijana alitaka kununua uhuru wake.

BAD LUCK, he was a hero to himself!!

Watu weusi wanahitaji maelezo gani??
Mimi napata confusion: kuna mahari naona kama Putin aliweka mpango wa muda mrefu wa kuwalazisha wageni kwenda vitani. Mpango huu aliuanza kwa kuwawekea mitego na kuwafunga kama walivyomfanya mcheza kikapu wa Marekani ambaye urusi iemfanya kuwa kete yao ha turufu kwa ku-swap na mrusi muuza silaha
 
Mimi napata confusion: kuna mahari naona kama Putin aliweka mpango wa muda mrefu wa kuwalazisha wageni kwenda vitani. Mpango huu aliuanza kwa kuwawekea mitego na kuwafunga kama walivyomfanya mcheza kikapu wa Marekani ambaye urusi iemfanya kuwa kete yao ha turufu kwa ku-swap na mrusi muuza silaha
western propaganda
 
Back
Top Bottom