Mzanzibar huyu anatishia NDOA yangu•

Mzanzibar huyu anatishia NDOA yangu•

Ndugu zangu wana JF habari• Kuna mama wakizenji (kama si pepo) ameniamulia na amezamilia kuvunja ndoa yangu• Huyu mama ananipigia simu nakunitumia sms akidai nimemtelekeza mtoto niliyezaa naye huko Zanzibar(hajabu hii-mm na Zenji wapi na wapi,hata kigamboni sijawahi kufika)!!! Nimemueleza vizuri ila haelewi kila siku nikunitumia sms+ calls akinitusi!!! sasa ndugu zangu naomba mnisaidie maana hadi mke wangu anahisi nikweli nimetelekeza mtoto!! naomba niweke no ya huyo mtu ili mnisaidie kuongea naye maana mimi hanielewi na anisikilizi,ni matusi tu naambulia! No yake ni 0773901050•
tuletee mrejesho mkuu.
 
Mi naona kuna mambo mengi ukuyasema apa kaka. Kwa mfano jee uyo dada, kakufaham kwa jina, kakueleza mlikutana wap, jina lake kwako c gen, maelezo ake anayoyatoa yanaashiria kua anakufaham nk. Embu mtafte muonane ili na yeye ajiridhishe mi naamin kama wew co wala atokusumbua tena.
 
King'asti, mimi likes ndio zangu, kila post ninyoisoma humu jf, inakula like yangu!.

Hii ni issue ndogo sana, it is just the issues of mistaken identity wala haikuhitaji hata kuotoa hiyo number ya huyu dada ni kumdhalilisha dada wa watu bure tuu!.

The facts ni huyo dada amekuwa impregnated na mtu aliyempa number ya uongo, kumbe hiyo number ni mtu mwingine!. Huyo dada is convinced mhusika wake ndie huyo huyo mwenye hiyo number ila anayakimbia majukumu!. Hivi kweli hii ni issue ya kuileta humu jf hadi kuweka number ya simu ya dada wa watu?!.

Pasco
Pasco jaribu kuvivaa viatu vya mhusika ndo urudi tena kumshauri...huyo bi dada kakomaa na matusi na tuhuma nzito ambazo zaweza kumvunjia ndoa yake kama alivyosema...kajaribu kumwelewesha hailewi...anafanyaje!kutafuta ushauri...kama ambavyo angelipeleka kwa wazazi wake ndivyo alivyolileta hapa...sisi tunasimama kama wazi na ndugu wa karibu.kutoa namba si issue...watu wanasumbuliwa na michepuko hadi wanaisema kwa wake zao ije kuwa hii issue.
 
Ndugu zangu wana JF habari• Kuna mama wakizenji (kama si pepo) ameniamulia na amezamilia kuvunja ndoa yangu• Huyu mama ananipigia simu nakunitumia sms akidai nimemtelekeza mtoto niliyezaa naye huko Zanzibar(hajabu hii-mm na Zenji wapi na wapi,hata kigamboni sijawahi kufika)!!! Nimemueleza vizuri ila haelewi kila siku nikunitumia sms+ calls akinitusi!!! sasa ndugu zangu naomba mnisaidie maana hadi mke wangu anahisi nikweli nimetelekeza mtoto!! naomba niweke no ya huyo mtu ili mnisaidie kuongea naye maana mimi hanielewi na anisikilizi,ni matusi tu naambulia! No yake ni 0773901050•

Hii namba mbona inaandika JECHA?
 
Back
Top Bottom