King'asti, mimi likes ndio zangu, kila post ninyoisoma humu jf, inakula like yangu!.
Hii ni issue ndogo sana, it is just the issues of mistaken identity wala haikuhitaji hata kuotoa hiyo number ya huyu dada ni kumdhalilisha dada wa watu bure tuu!.
The facts ni huyo dada amekuwa impregnated na mtu aliyempa number ya uongo, kumbe hiyo number ni mtu mwingine!. Huyo dada is convinced mhusika wake ndie huyo huyo mwenye hiyo number ila anayakimbia majukumu!. Hivi kweli hii ni issue ya kuileta humu jf hadi kuweka number ya simu ya dada wa watu?!.
Pasco