Mzao wa Tippu Tip uko wapi?

Mzao wa Tippu Tip uko wapi?

Tipp Tip alikuwa ni Mchotara kama Obama, hata Obama amemuua Gadafi pia!
Salaam
Waungwana
Ukoo wa huyu muungwana unaitwa Al marjeby. Lakini la kushangaza sana huyu bwana hakuwa mfanya biashara ya utumwa kama mlivyofunzwa historia ya uongo na wazungu na vibaraka wao. Huyu ndie aliyekuwa anaaminiwa kuijua Tanganyika hadi Kongo wakati huo na alikuwa mfanyabiashara wa kawaida na mtu pekee ambae ameishi na kuona tawala za masultani tofauti Zanzibar kuliko mtu yeyote. Wakati Livingstone na Stanley wanafika Zanzibar yeye ndie aliepewa watu hawa wawili ili awafikishe Tanganyika na walikuwa hawana pesa. Aliwachukua kwa gharama zake hadi kufika safari yao. Samahani kwa sasa sitaweka source. La kushangaza walipofika London walizua uongo wa utumwa ili kuraise fund kwa ajili ya kupambana nao watakaporudi Afrika Mashariki. Na ukitaka kujua kama wazungu waongo kuhusiana na utumwa nenda Bwagamoyo, fika kwenye banda la historia ya mji la serikali kasha tazama rekodi ya historia fupi ya mji huo kwenye ubao uliombatana na picha utakuta pia wameweka picha ya Bushiri bin Salim Al harthy pamoja na picha ya huyu jamaa kuwa walikuwa vinara wa bishara hiyo. Huo ni ushahidi mdogo tu ambao naomba msomaji akifika kwenye mji ule ajidhirishe mwenyewe.
Kuhusu uko wake, mimi najua mji walio vitukuu vyake ila sitoutaja na wala sio Tanzania walipo wale direct discendants na wala hawatumii hili jina la Tip tip ambalo lilikuwa la utani. Baadhi wapo Zanzibar hadi leo na kama ujuavyo mali zao zimetaifishwa na serikali dhalim ya kimapinduzi.
Naomba niishie hapa.
 
According to wikipedia mama yake ndo alikua mwarabu wa Oman baba yake alikua mswahili wa zanzibar.
 
Tipp tip alisaidia sana kueneza kiswahili,na yeye biashara yake ilikuwa pembe za ndovu
 
Ummie-Mahfoudha Alley Hamid Hamid:

Wagonjwa hao.
Wape hadithi ya mwana kondoo na mbwa mwitu.

Asojuwa maana haambiwi maana.

I never argue with fools as people might not be able to tell the difference.
Being a descendant of Tip Tip does not shame me at all.

I'll always stand tall for who I am.

A lot of fibs and dramatization has been added in Tip's life to the extent that some people don't know where truth ends and fiction starts.

I don't want to enter into an argument with nincompoops some who have just managed to learn how to write their names.

Thanks brother but I retain you as my advocate if you accept a retainer of sisterhood love.
Wasamehe bure, kuna watu bila kukuchokoza hawaoni raha
 
Salaam
Waungwana
Ukoo wa huyu muungwana unaitwa Al marjeby. Lakini la kushangaza sana huyu bwana hakuwa mfanya biashara ya utumwa kama mlivyofunzwa historia ya uongo na wazungu na vibaraka wao. Huyu ndie aliyekuwa anaaminiwa kuijua Tanganyika hadi Kongo wakati huo na alikuwa mfanyabiashara wa kawaida na mtu pekee ambae ameishi na kuona tawala za masultani tofauti Zanzibar kuliko mtu yeyote. Wakati Livingstone na Stanley wanafika Zanzibar yeye ndie aliepewa watu hawa wawili ili awafikishe Tanganyika na walikuwa hawana pesa. Aliwachukua kwa gharama zake hadi kufika safari yao. Samahani kwa sasa sitaweka source. La kushangaza walipofika London walizua uongo wa utumwa ili kuraise fund kwa ajili ya kupambana nao watakaporudi Afrika Mashariki. Na ukitaka kujua kama wazungu waongo kuhusiana na utumwa nenda Bwagamoyo, fika kwenye banda la historia ya mji la serikali kasha tazama rekodi ya historia fupi ya mji huo kwenye ubao uliombatana na picha utakuta pia wameweka picha ya Bushiri bin Salim Al harthy pamoja na picha ya huyu jamaa kuwa walikuwa vinara wa bishara hiyo. Huo ni ushahidi mdogo tu ambao naomba msomaji akifika kwenye mji ule ajidhirishe mwenyewe.
Kuhusu uko wake, mimi najua mji walio vitukuu vyake ila sitoutaja na wala sio Tanzania walipo wale direct discendants na wala hawatumii hili jina la Tip tip ambalo lilikuwa la utani. Baadhi wapo Zanzibar hadi leo na kama ujuavyo mali zao zimetaifishwa na serikali dhalim ya kimapinduzi.
Naomba niishie hapa.


Tippu Tip alikuwa Mchotara au siyo? kwanza tuanzie hapo!
 
Salaam
Waungwana
Ukoo wa huyu muungwana unaitwa Al marjeby. Lakini la kushangaza sana huyu bwana hakuwa mfanya biashara ya utumwa kama mlivyofunzwa historia ya uongo na wazungu na vibaraka wao. Huyu ndie aliyekuwa anaaminiwa kuijua Tanganyika hadi Kongo wakati huo na alikuwa mfanyabiashara wa kawaida na mtu pekee ambae ameishi na kuona tawala za masultani tofauti Zanzibar kuliko mtu yeyote. Wakati Livingstone na Stanley wanafika Zanzibar yeye ndie aliepewa watu hawa wawili ili awafikishe Tanganyika na walikuwa hawana pesa. Aliwachukua kwa gharama zake hadi kufika safari yao. Samahani kwa sasa sitaweka source. La kushangaza walipofika London walizua uongo wa utumwa ili kuraise fund kwa ajili ya kupambana nao watakaporudi Afrika Mashariki. Na ukitaka kujua kama wazungu waongo kuhusiana na utumwa nenda Bwagamoyo, fika kwenye banda la historia ya mji la serikali kasha tazama rekodi ya historia fupi ya mji huo kwenye ubao uliombatana na picha utakuta pia wameweka picha ya Bushiri bin Salim Al harthy pamoja na picha ya huyu jamaa kuwa walikuwa vinara wa bishara hiyo. Huo ni ushahidi mdogo tu ambao naomba msomaji akifika kwenye mji ule ajidhirishe mwenyewe.
Kuhusu uko wake, mimi najua mji walio vitukuu vyake ila sitoutaja na wala sio Tanzania walipo wale direct discendants na wala hawatumii hili jina la Tip tip ambalo lilikuwa la utani. Baadhi wapo Zanzibar hadi leo na kama ujuavyo mali zao zimetaifishwa na serikali dhalim ya kimapinduzi.
Naomba niishie hapa.
Mkuu weka yote tujue zaidi, sisi wenyewe tutachanganya akili zetu na za kuambiwa, au wazani tukijua ukoo wake ulipi tutaenda kuwafilisi, kama alifanya mema tutajua, funguka tu mkuu.
 
Mkuu weka yote tujue zaidi, sisi wenyewe tutachanganya akili zetu na za kuambiwa, au wazani tukijua ukoo wake ulipi tutaenda kuwafilisi, kama alifanya mema tutajua, funguka tu mkuu.
Playboy,
Kuijua historia ya utumwa inahitaji fikra iliyotulia na usomi makini.

Mada ya utumwa tumeshaijadili hapa siku za nyuma na nina hakika
wengi walinufaika kwa kusomeshwa kile ambacho hawakuwa kabla
wanakijua.

Kabla ya kufilisi chukua muda usome hayo yapo chini:
file:///C:/Users/yemen/Downloads/Chapter%203%20Ibrahim%20Noor%20book%20Tanzania%20na%20Propaganda%20za%20Udini-1.pdf
 
Ikumbukwe kwamba wakati wa Biashara ya Utumwa ni Waafrika wenzetu ndiyo waliokuwa wanakamata ndugu zetu kama Watumwa na kuwauzia Waarabu na Wazungu mmoja wao ni mtu maarufu Mchotara Tippu Tip ambaye alikuwa ni Mchotara wa Kiarabu na Kikwetu!
Mama yake Tippu Tip alikuwa ni Mbantu mweusi kama mimi na ni Mzaliwa wa Dar yetu kipindi hicho haikuitwa Dar wakati Baba yake ni alikuwa ni Mwarabu wa kuapia kutoka Oman, huyu ndiyo alikuwa kinara wa kutuuuza Waafrika, sasa swali langu ni Je, mzao wake Tipp Tip uko wapi?
Kwa maana Tipp Tip alioa wake wengi na watoto wengi sana tu hivyo ina maana kizazi chake kipo na kwa kuwa alikuwa ni tajiri, utajiri alioupata kwa njia haramu ya kuuza Watumwa basi aliurithisha kwa vizazi vyake vilivyofuatia, sasa viko wapi vizazi vyake?


Muuza watumwa Maarufu Afrika Mchotara Tippu tip!

images



Kazi ya Tippu Tip!

Islams+african+slaves.jpg




Kumbe kiduku (mtindo wa kunyoa) kimeanza zamani [emoji60] [emoji60] [emoji60]
 
Ikumbukwe kwamba wakati wa Biashara ya Utumwa ni Waafrika wenzetu ndiyo waliokuwa wanakamata ndugu zetu kama Watumwa na kuwauzia Waarabu na Wazungu mmoja wao ni mtu maarufu Mchotara Tippu Tip ambaye alikuwa ni Mchotara wa Kiarabu na Kikwetu!
Mama yake Tippu Tip alikuwa ni Mbantu mweusi kama mimi na ni Mzaliwa wa Dar yetu kipindi hicho haikuitwa Dar wakati Baba yake ni alikuwa ni Mwarabu wa kuapia kutoka Oman, huyu ndiyo alikuwa kinara wa kutuuuza Waafrika, sasa swali langu ni Je, mzao wake Tipp Tip uko wapi?
Kwa maana Tipp Tip alioa wake wengi na watoto wengi sana tu hivyo ina maana kizazi chake kipo na kwa kuwa alikuwa ni tajiri, utajiri alioupata kwa njia haramu ya kuuza Watumwa basi aliurithisha kwa vizazi vyake vilivyofuatia, sasa viko wapi vizazi vyake?


Muuza watumwa Maarufu Afrika Mchotara Tippu tip!

images



Kazi ya Tippu Tip!

Islams+african+slaves.jpg




Kumbe ni sehemu ya muendelezo miaka ile yule mchezaji sijui wa timu gani alivyonyoa kiduku alijiona ndo wa kwanza kumbe kwetu afrika tulianza muda tu a'm proud to be an African![emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ikumbukwe kwamba wakati wa Biashara ya Utumwa ni Waafrika wenzetu ndiyo waliokuwa wanakamata ndugu zetu kama Watumwa na kuwauzia Waarabu na Wazungu mmoja wao ni mtu maarufu Mchotara Tippu Tip ambaye alikuwa ni Mchotara wa Kiarabu na Kikwetu!
Mama yake Tippu Tip alikuwa ni Mbantu mweusi kama mimi na ni Mzaliwa wa Dar yetu kipindi hicho haikuitwa Dar wakati Baba yake ni alikuwa ni Mwarabu wa kuapia kutoka Oman, huyu ndiyo alikuwa kinara wa kutuuuza Waafrika, sasa swali langu ni Je, mzao wake Tipp Tip uko wapi?
Kwa maana Tipp Tip alioa wake wengi na watoto wengi sana tu hivyo ina maana kizazi chake kipo na kwa kuwa alikuwa ni tajiri, utajiri alioupata kwa njia haramu ya kuuza Watumwa basi aliurithisha kwa vizazi vyake vilivyofuatia, sasa viko wapi vizazi vyake?


Muuza watumwa Maarufu Afrika Mchotara Tippu tip!

images



Kazi ya Tippu Tip!

Islams+african+slaves.jpg





Naomba unisaidie. Mzungu gani alikuja kuchukua mtumwa kutoka Tanzania?
 
Mkuu Barbarosa sehemu ya ukoo wa huyu jamaa wapo sehemu moja Tabora inaitwa "Kwihala".Ni nje kidogo ya mji wa Tabora,njia ya kwenda Sikonge karibu na Seminary Kuu ya Kipalapala ya Kanisa Katoliki iliyojengwa toka miaka ya 1880's.

Huku Kwihala ndio ulikuwa mji wa zamani wa Tabora,kabla ya watu kusogea kuifuata reli ya Kati ya kwenda Kigoma,Mwanza na Mpanda.Lkn mji haswaa ndio huku Kwihara ambapo unamkuta Mzee Nassoro Mwarabu ambaye ni ukoo wa Tippu Tipu.

Na ukifika pale Tabora,hawa Waarabu Ukoo wa Tippu Tipu wanafahamika kama "Waarabu wa Kwihala".Pembeni ya hiki kijiji chao,kuna Makumbusho ya Kale,ambapo unakuta historia ya kina Livingstone,Henry Stanley,Wamisionary wa Holy Ghost Fathers ambao kwa mara ya kwanza wanafika Unyanyembe walipokelewa na hawa Waarabu wa Kwihala.

Eneo hili kuna miembe mingi sana,kuna maembe aina ya boribo na embe dodo.Miembe hii ni miembe "pori" maana haina mmiliki zaidi ya mtu yoyote kuchuma na kula.Miembe hii ilipandwa miaka ya 1880's ikiwa na lengo ya kutumika kama kiashiria cha njia ya kutoka Unyanyembe mpaka Ujiji-Kigoma kutokea Kalambo.

Wapagazi na Waarabu kila walipopita,ili wasisahau njia wakati wa kurudi walipanda miembe,ili wakati wa kurudi waitumie kama "Routes" za kufika.Na kumbuka safari wakati huo ilikuwa inachukua miezi hadi miaka.Ndio maana hata mkoloni toka Tabora mpaka Ujiji,alijenga reli akifuata miembe iliyopandwa na Mwarabu wa Kwihala ambapo ilikuwa sehemu ya makazi ya mke wa Tippu Tipu.
Uko sahihi sana, nimewahi kutembelea hayo makumbusho ya Livingstone, kuna historia ya kusisimua sana
 
ukipata mjukuu wake hata mmoja tu anatakiwa akaliwe tigo kabisa manake babu yao alifanya ushetani sana.
Haifai makosa ya babu yawaadhibu wajukuu mkuu
 
Na vizazi vya Mirambo viko wapi ? sababu nae alikuwa mlanguzi na msafirishaji mkubwa wa watumwa, alikuwa mpaka anawakamata vijijini na kuwasafirisha pwani. Migogoro yake yote na warabu ilikuwa ni kugombania biashara hii
 
Mkuu Barbarosa sehemu ya ukoo wa huyu jamaa wapo sehemu moja Tabora inaitwa "Kwihala".Ni nje kidogo ya mji wa Tabora,njia ya kwenda Sikonge karibu na Seminary Kuu ya Kipalapala ya Kanisa Katoliki iliyojengwa toka miaka ya 1880's.

Huku Kwihala ndio ulikuwa mji wa zamani wa Tabora,kabla ya watu kusogea kuifuata reli ya Kati ya kwenda Kigoma,Mwanza na Mpanda.Lkn mji haswaa ndio huku Kwihara ambapo unamkuta Mzee Nassoro Mwarabu ambaye ni ukoo wa Tippu Tipu.

Na ukifika pale Tabora,hawa Waarabu Ukoo wa Tippu Tipu wanafahamika kama "Waarabu wa Kwihala".Pembeni ya hiki kijiji chao,kuna Makumbusho ya Kale,ambapo unakuta historia ya kina Livingstone,Henry Stanley,Wamisionary wa Holy Ghost Fathers ambao kwa mara ya kwanza wanafika Unyanyembe walipokelewa na hawa Waarabu wa Kwihala.

Eneo hili kuna miembe mingi sana,kuna maembe aina ya boribo na embe dodo.Miembe hii ni miembe "pori" maana haina mmiliki zaidi ya mtu yoyote kuchuma na kula.Miembe hii ilipandwa miaka ya 1880's ikiwa na lengo ya kutumika kama kiashiria cha njia ya kutoka Unyanyembe mpaka Ujiji-Kigoma kutokea Kalambo.

Wapagazi na Waarabu kila walipopita,ili wasisahau njia wakati wa kurudi walipanda miembe,ili wakati wa kurudi waitumie kama "Routes" za kufika.Na kumbuka safari wakati huo ilikuwa inachukua miezi hadi miaka.Ndio maana hata mkoloni toka Tabora mpaka Ujiji,alijenga reli akifuata miembe iliyopandwa na Mwarabu wa Kwihala ambapo ilikuwa sehemu ya makazi ya mke wa Tippu Tipu.
Duh! wewe ni nouma,hongera jamaa
 
Back
Top Bottom