Mjomba Fujo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 2,438
- 6,313
View: https://vimeo.com/896717216?share=copy
Haya haya
Mtoto kajipongeza baada ya kumaliza mitihani yake.
Tukio hili limetokea huko kwa majirani 254.
Mkanye mwanao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View: https://vimeo.com/896717216?share=copy
Haya haya
Mtoto kajipongeza baada ya kumaliza mitihani yake.
Tukio hili limetokea huko kwa majirani 254.
Mkanye mwanao.
Wazazi tuna mitihani......Huyo baba anaongea kwa uchungu sana!
Hawa watoto jamani?
Jitahidi kuwanenea wengine mema, huyo ni binti mdogo sana kumsemea ubaya namna hii.Another Future Single Mother
Nifah ! What a statementJitahidi kuwanenea wengine mema, huyo ni binti mdogo sana kumsemea ubaya namna hii.
Hizo Pombe nime mnywesha mimi.Jitahidi kuwanenea wengine mema, huyo ni binti mdogo sana kumsemea ubaya namna hii.
At that young Age? And she feels great.Aisee inakuwaje mpaka mtu anaanza kunywa pombe?
HurumaAt that young Age? And she feels great.
Hapo sas ajifanye unamshauri uone mitusi yake.
Ukiwa na binti wako umri huo lazima ikuume tu,ila kama huna utaongea sana...Jitahidi kuwanenea wengine mema, huyo ni binti mdogo sana kumsemea ubaya namna hii.
Sina hata wa umri huo, na hata kama nisingekuwa na binti kabisa au watoto kabisa ila sio vyema kusema maneno mabaya juu ya watoto.Ukiwa na binti wako umri huo lazima ikuume tu,ila kama huna utaongea sana...
Hayo mabaya anayafanya yeye mwenyewe akiwa na akili timamu......Punguza Sensationalism hazikusaidii Dada NifahSina hata wa umri huo, na hata kama nisingekuwa na binti kabisa au watoto kabisa ila sio vyema kusema maneno mabaya juu ya watoto.
Angekuwa mtu mzima wala nisingejali, ila binti mdogo namna hiyo nimeumia.
You are so sweet! 😍Jitahidi kuwanenea wengine mema, huyo ni binti mdogo sana kumsemea ubaya namna hii.
Akili timamu gani? Huyo ni binti wa miaka 15/16 hazidi 17!Hayo mabaya anayafanya yeye mwenyewe akiwa na akili timamu......Punguza Sensationalism hazikusaidii Dada Nifah
View: https://vimeo.com/896717216?share=copy
Haya haya
Mtoto kajipongeza baada ya kumaliza mitihani yake.
Tukio hili limetokea huko kwa majirani 254.
Mkanye mwanao.