Mzazi akikokotana na mwanafunzi mlevi alietoka kuhitimisha mitihani ya sekondari

Mzazi akikokotana na mwanafunzi mlevi alietoka kuhitimisha mitihani ya sekondari

Akili timamu gani? Huyo ni binti wa miaka 15/16 hazidi 17!
Hiyo akili timamu anaipatia wapi? Angekuwa amekubuhu huyo baba angeongea kwa uchungu namna hiyo?

Mkuu umezingua, hakuna namna ya kujitetea katika hili.
Unadhani hizo pombe hakuzofata zilipo tena kwa kujificha.......kosa mnalofanya nyie wazazi wa siku hizi ni kudhani kuwa Vijana wa Miaka 15 hawana akili.

Ni ama hawana akili ama nyie wazazi ndio hamna akili.

Huyo huyo kijana wa 15yrs anatembeza Ngono kwa wazee wa miaka 60 na ukimkuta anavyojidai kuwa yeywe ni Gwijiu toamini..

Dada Nifa dont under Rate them. They do what they know.
 
Akili timamu gani? Huyo ni binti wa miaka 15/16 hazidi 17!
Hiyo akili timamu anaipatia wapi? Angekuwa amekubuhu huyo baba angeongea kwa uchungu namna hiyo?

Mkuu umezingua, hakuna namna ya kujitetea katika hili.
Ndio matokeo ya kulelea watoto kwa bibi zao.

They reap what they So.

Wakati Watoto wa Mwigulu na Watoto wa Waziri Slaa wako wanagombani vyeo vya kitaifa nyie wakwenu mnawalilia kwenye vilabu vya pombe.
🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom