Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ushauri wako ni ushauri wa kidaktari au ni ushauri wa vijweni?
Mama mzazi anatakiwa atibiwe hiyo pumu akipona mtoto hatoweza kupatwa na hayo maradhi ya pumu .Ukitaka kumtibia mama mzazi wa huyo mwenye mimba maradhi ya pumu nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia mgonjwa wako.Mwanamke mwenye Pumu afuate taratibu zipi ili kumuepusha kijacho wake na Pumu?
Ni ile Pumu ya kurithi, inatibika?Mama mzazi anatakiwa atibiwe hiyo pumu akipona mtoto hatoweza kupatwa na hayo maradhi ya pumu .Ukitaka kumtibia mama mzazi wa huyo mwenye mimba maradhi ya pumu nitafute kwa wakati wako ili niweze kumtibia mgonjwa wako.
Mwanamke mwenye Pumu afuate taratibu zipi ili kumuepusha kijacho wake na Pumu?