Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

!
!
nenda dukani kanunue hii

images



kisha hakikisha pia una mlinzi kama huyu

Soldiers-Equipment-58-Kgs-Training.jpg
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

Huhitaji kusamehewa......Kula risasi ufie mbali
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

http://api.ning.com/files/e3fQE5OJ*...OxL4afKkIcJlPA0X1KAVYBCS9n4ytZy4k0YW/aibu.jpg
 
Hahaha huoni hata aibu kuomba ushauri?Kweli wanawake mkipata hela tabu kweli,yaani unaomba ushauri huku ukiwa na plan za kuendelea kutafunwa na hawara yako?

yeye ana mke wake.
Tumezaa tu ila ni kila kitu kwangu.
Sitaki kumpoteza
 
Andika wosia. utafumuliwa ubongo soon.

Subiri risasi, wakati huu sio wa kucheza na wanaume wa kitanzania. Chezeni na wa nchi nyingine yeyote duniani. Pia usisafirie bahati ya wenzako ! Siyo kila Mara shabaha itakosekana. Kama alivyosema wa juu yangu, Andika wosia.
 
hahahaaaaaaaaaaaa nicheke kwa sauti kubwa heaven mie

ni Mudiplomat ndio kakufumania!!!!!!!!!!!

H.O.E huyu bi dada atakuwa mke mwema...maana maandiko yanasema wazi kuwa mke mwema anatoka kwa bwana of whom bi Zahra ndo keshatoka kwa bwanake so ni mke mwema kwa huyu then kidumu chake!
 
watu skuhz wanaroho ngumu!! Huyo mudiplomat ni mumeo ama hawara tu?
 
Back
Top Bottom