Achukibesi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2012
- 234
- 78
Kwan huyo mumeo hakuridhishi?
Kwani tumbo huwa linashiba daima?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan huyo mumeo hakuridhishi?
Mm mdada unapenda duduzee? Ulishindwa nini kukituliza nyumbani?
kipele kimepata mkunaji.....BTW mzima Saint Ivuga nimekumiss sana
Mmmmh!!!!!
Usinge changia ningekutwangia cmu uchangie
H.O.E huyu bi dada atakuwa mke mwema...maana maandiko yanasema wazi kuwa mke mwema anatoka kwa bwana of whom bi Zahra ndo keshatoka kwa bwanake so ni mke mwema kwa huyu then kidumu chake!
subir sasa mume akamwage mboga kule kazin ndio atajijua kama ana hela au ilikua hela ya ma geology!!
hahahaaaaaaaaaaaaa nimechekaje!!!!!!!!!!!!! usingenipigia kuniambia ningekumaindi kweli
you need this..........The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.
Do it quickly and make sure that he is aware of that.
075676545 nipigie nikupe dawa atakuwa pole kama ndama anayenyonya
Zahra White una hatari. Siwezi kuamini kwa jinsi unavyosimulia bila simanzi na kusema kwamba utaendeleza mahusiano na hicho kidumu chako. Any way, umefika wakati nchi yetu itunge sharia ya kupiga mawe wazinzi hadi wafe. Nchi ya Afghanstan imeanza mchakazo wa kutunga sharia ya aina hiyo. Soma article kwenye link ifuatayo: stoning adulterers | Examiner.com.Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.
Its always that way ......
umeongea nae..........muombe msamaha......ila huyo the other man
piga chini usolve ishu na mudiplomat kwanza