Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

H.O.E huyu bi dada atakuwa mke mwema...maana maandiko yanasema wazi kuwa mke mwema anatoka kwa bwana of whom bi Zahra ndo keshatoka kwa bwanake so ni mke mwema kwa huyu then kidumu chake!

hapo sasa...... mudiplomat ka invest weeeee kumbe anachapiwa na the other guy..........

ndio maana kamaind haswaaaaaa
 
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.
you need this..........
images
 
Endelea na huyo ambayo huwez kula wala kulala bila yeye mana si umeona Baba watoto wako hana lolote,hata kamaa wewe ni geologist au makenika,umalaya sio ishu na ulichokifanya ni UMALAYA
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.
Zahra White una hatari. Siwezi kuamini kwa jinsi unavyosimulia bila simanzi na kusema kwamba utaendeleza mahusiano na hicho kidumu chako. Any way, umefika wakati nchi yetu itunge sharia ya kupiga mawe wazinzi hadi wafe. Nchi ya Afghanstan imeanza mchakazo wa kutunga sharia ya aina hiyo. Soma article kwenye link ifuatayo: stoning adulterers | Examiner.com.
 
KIWASHO KIMEPATA MKUNAJI.....!!! ngoja arudi ndo utajua cha kufanya ni nini? mahaba ndani ya nyumba ya mumewe kweli ulimchoka mumeo nenda kaolewe na mahaba ..
 
Back
Top Bottom