Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?


Huhitaji kusamehewa......Kula risasi ufie mbali
 

http://api.ning.com/files/e3fQE5OJ*...OxL4afKkIcJlPA0X1KAVYBCS9n4ytZy4k0YW/aibu.jpg
 
Hahaha huoni hata aibu kuomba ushauri?Kweli wanawake mkipata hela tabu kweli,yaani unaomba ushauri huku ukiwa na plan za kuendelea kutafunwa na hawara yako?

yeye ana mke wake.
Tumezaa tu ila ni kila kitu kwangu.
Sitaki kumpoteza
 
Andika wosia. utafumuliwa ubongo soon.

Subiri risasi, wakati huu sio wa kucheza na wanaume wa kitanzania. Chezeni na wa nchi nyingine yeyote duniani. Pia usisafirie bahati ya wenzako ! Siyo kila Mara shabaha itakosekana. Kama alivyosema wa juu yangu, Andika wosia.
 
hahahaaaaaaaaaaaa nicheke kwa sauti kubwa heaven mie

ni Mudiplomat ndio kakufumania!!!!!!!!!!!

H.O.E huyu bi dada atakuwa mke mwema...maana maandiko yanasema wazi kuwa mke mwema anatoka kwa bwana of whom bi Zahra ndo keshatoka kwa bwanake so ni mke mwema kwa huyu then kidumu chake!
 
watu skuhz wanaroho ngumu!! Huyo mudiplomat ni mumeo ama hawara tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…