Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

Hahaha huoni hata aibu kuomba ushauri?Kweli wanawake mkipata hela tabu kweli,yaani unaomba ushauri huku ukiwa na plan za kuendelea kutafunwa na hawara yako?

Mkuu huyu Zahra White ANA PEPO LA GONO!!!!!!!!!!
Anapenda kugawa mbunye na hatosheki!
...
Alishawahi kutukana vijana wa kiume hapa hapa JF!
Kisa kagonga na vijana watatu na hakutosheka!
Mzoee tu!
 
Nimekuombea kwa Mungu akuepushe na adhabu ambayo mpaka sasa huijui na bado una kiburi cha kuendelea na huyo mwanaume wako hata baada ya kumuendea kinyume mume wako.
Ushauri wangu ni kuwa kwa kuwa unadhani kuwa huyo mwanaume wako wa pembeni anakupenda sana basi yafaa ukubaliane na talaka na ukaishi nae huyo umpendae,haiwezekani uombe msamaha kwa mumeo huku yupo mtu mwingine ambaye anakupa furaha ya maisha yako ila jua tu kuwa malipo ni hapa hapa duniani.
Mwanaume mwenzangu nakupa pole kwa madhira unayopitia sasa.
 
Nimekuombea kwa Mungu akuepushe na adhabu ambayo mpaka sasa huijui na bado una kiburi cha kuendelea na huyo mwanaume wako hata baada ya kumuendea kinyume mume wako.
Ushauri wangu ni kuwa kwa kuwa unadhani kuwa huyo mwanaume wako wa pembeni anakupenda sana basi yafaa ukubaliane na talaka na ukaishi nae huyo umpendae,haiwezekani uombe msamaha kwa mumeo huku yupo mtu mwingine ambaye anakupa furaha ya maisha yako ila jua tu kuwa malipo ni hapa hapa duniani.
Mwanaume mwenzangu nakupa pole kwa madhira unayopitia sasa.

Huwezi jua.
Sema kabaang inaweza ikamfanya mtu awe chizi kabisa asiambilike
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

sina kawaida ya kucomment,ila nimeamini elimu sio kila kitu..we dada una wadudu kichwani na unahitaji maombi.!
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

Kweli wewe kunguru wa pwani. Mie nilidhani unajutia tendo hilo ovu la kusariti ndoa yako!!!!

Kumbe unataka the great thinkers wahangaishe vichwa vyao kukupa ushauri nini cha kufanya na wakati huohuo ukiendeleza unafiki, ulaghai na unyonyaji wa mapenzi kwa mmeo wa ndoa!!!!!

Kweli wewe bingwa wa ufusika. Endelea mama, kila lakheri.
Nawanajanvi makini hatutaumiza vichwa vyetu kukupa wazo lolote. Maana wewe ni mwanamke wa ajabu mno!!!!!
 
Ninachoomba ni kwamba jamaa awe na shabaha tu sio akupige kamoja begani alafu yeye ajipige kifuani afe nitasikitika sana akikusa kwa bastola manake najua anayo..eti muishi kama zamani huku unataka kuendelea na hicho kidubwana chako kisiri siri....!!!
 
Amen dada yangu.
Naona siku hizi bastola zinafanya kazi.
Kuna thread moja huko kigoma sijui singida jamaa baada ya kuachwa yeye kajipiga risasi ya bega. Nimecheka kama nini . Nikajiuliza huyu ina maana hajui kichwa chake kilipo

hahahahah alisahau kilipo
tuendapo litakuwa janga la kitaifa
 
zawadi yako ndio hii, isubiri kwa hamu kubwa ukamsalime Lucifer
handgun_3.JPG
 
kampakie kwenye gari huyo uliefumaniwa nae halafu kapaki maeneo ya ilala kwa getini kisha mpigie mmeo mwambie aje hapo na silaha. akifika mwambie akuadhibu. akikusamehe. ndio mambo yanakuwa yameisha.
 
The other man tutaendelea kwa
siri sana maana nayeye katishiwa
maisha.
you real Sucks
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

Myanamke mingine nimetamani kukutwanga kofi kumbe nipo JF!!!
 
dada siku hizi bastola nje nje we huogopi??
 
Back
Top Bottom