Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

mhh hiii stori ya kutunga au???pole kwa kuchezea kitumbua chakoo!
 
Rudi ukasome wee mda wa mtihani umekaribia afadhali kuna division 5 itakuweka mjini
Fumanizi jana tuu, leo mshaweka ma mipango ya kuendelea kimyakimya
Nina wasi wasi kama hata insha unaweza kuandika, stori ndogo kama hiyo huwezi hata kuipanga ikaonekana
geologist my As*
 
Geologist yawezekana anasimulia kuhusu miamba kunako Sita Kwa Sita. Pole ila acha huo mchezo. Somo unalo toka Kwa MAJANGA ya hivi karibuni. Mtakufa.
 
nimehangaika mda huu ndo kapokea simu.
Anasema we umeshampata mwingine tena anadai jamaa anajisifia sijiwezi kwake siwezi kumuacha.
Nimemuambia baba watoto hao wanaokuambia maneno ni waongo.
 
kama udadapoa siku hizi unaitwa geologist hongera sana ila nyuchi yako ipunguze kuigawa sana
 
aiseeee!!!pole sana,chakukushauri kimbilia kwny nyumba za ibada kwa usalama wako
 
Dada Zahra White,
unaonekana ni mtu wa mjini wewe, bila shaka hukufunga ndoa kabla ya "kuonjana". Na bila shaka uliridhika na nguvu yake alipokuwa anaishia ndo maana ukaamua kuolewa nae. Kama hukuridhika nae na ukajilazimisha kuolewa nae basi hilo ni kosa la kiufundi ulilolifanya na kamwe haliwezi kutatuliwa na ushauri wa aina yeyote.
Wew kwakuwa unajua yote, endelea tu mama na mipango yako lakini tambua hutofika mbali na hako kamchezo
 
nimehangaika mda huu ndo kapokea simu.
Anasema we umeshampata mwingine tena anadai jamaa anajisifia sijiwezi kwake siwezi kumuacha.
Nimemuambia baba watoto hao wanaokuambia maneno ni waongo.

Wewe unalilia kuendelea kuwekwa nyumba ndogo? ......
 
yeye ana mke wake.
Tumezaa tu ila ni kila kitu kwangu.
Sitaki kumpoteza
Aaaaaaah! Kumbe wote wezi. Nakushauri wapige chini wote wawili halafu utafute wa kwako peke yako, tulizana ule maraha na yeye pekee.
 
Nauza tindikali, nipe mawasiliano ya mumeo nadhani anaihitaji.
 
kizur ni kwamba umeshajua kuwa ana plan B na hiyo siku hizi ipo wazi ni nn kinafata,cha muhm tumia mda huu kuandika mirathi na wosia ili kusaidia kazi jeshi la polisi na wazazi wako pia.
 
hahahaaaaaaa leo nacheka wallahi........

chezea wadada wa mujini.pesa anataka na penzi la the other man analihitaji.......hureeeee


Mwenye pesa hawezi kutoa penzi, na mwenye penzi hawezi kutoa pesa. Dawa ni kuwawekea mchanganyiko maalum.
 
Si umesema una hela...kwa hiyo unaweza kununua mapenzi kama nguo...sasa unataka msamaha wa nini? Kauli tena kama thamani ya mwanamke ni hela au...

Anajiona yupo sahihi na ndo maana anasema ataendeleza wizi wake na hicho kidumu kwa siri, all rubish
 
Back
Top Bottom