Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

Mzazi mwenzangu amegundua nina mahusiano mengine nje ,nifanye nini ili anisamehe turudi kama mwanzo?

bora amekugundua ili uachane na mme wa mtu.
maombi ya mkewe yameanza kusikilizwa.
nyie wanaume ndio muone jinsi small house zenu zinavyotuletea virusi.
 
nimehangaika mda huu ndo kapokea simu.
Anasema we umeshampata mwingine tena anadai jamaa anajisifia sijiwezi kwake siwezi kumuacha.
Nimemuambia baba watoto hao wanaokuambia maneno ni waongo.
atarudi tu huyu. endelea kumbembeleza tu.
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.
kweli we ni sikio la kufa na sasa hivi ni grumeti tu hamna tena miguu ya kuku!
halafu unaomba ushauri gani huku unatuambia utaendelea na huyo boya wako?
ni wazi kuwa alishakuchokaga ndo maana hata hajakufanya chochote au anayo plan kubwa sana ya kukupa nauli kwenda mbele za haki!
 
Baba mtoto wangu ni mtu wa kusafiri sana anasafiri muda murefu sana.
I started to date someone.Well things goes uncontolled hawezi kulala bila ya mimi,hawezi kula bila mimi.Tukajikuta tupo very close.Habari ikamfikia baba watoto akafanya upepelelezi.
Jana kanisuprise akatukuuta live tunakula kimahaba.
Hakusema kitu akaniambia naomba ufunguo wa gari nikampa.
Akaondoka baada ya mda akamtuma kijana akalifata gari lake.
Mie ni geologist ninalipwa hela nzuri sana kampuni ninayofanyia kazi baba mtoto anaheshimika na anasikilizwa sana.
Hapokei simu yangu,wala msg kaniambia kitu kimoja hela zinakuzuzua.
Nahisi anaplan vitu vingi sana ikiwemo kuniachisha kazi,biashara nlizokuwa nasimamia najua tayari keshantoa.
Nifanyeje nimfanye anisamehe na asahau tuwe kama zamani.
The other man tutaendelea kwa siri sana maana nayeye katishiwa maisha.

This is digital world! Ndio mapenzi hayo!
 
Mumeo ni mstaarabu sana. Kwani wewe unanuye. Gekiasigani Hadi ukaamua kumsaliti bash wako ( sio mumeo cause asinge vumilia) angemvalisha kijana shanga akamshika utosi. Acha umbulula wewe uwe unaridhika kama hajakukuna vizuri mwambie ajijue Na atafute njia mbadala. Nanyie vibopa wapeni wakezenu shughuli inayostahili ili wasitoke nje
 
Wanawake kama ninyi ndio mnaoharibu maana ya ndoa. Nakubatiza jina la MALAYA SUGU.
 
Uyo mumeo anaonekana mstarabu ndomana akakuweka kiporo bila kukurupuka. Sasa we jiandae kwa shambulizi analoplani. Yawezekana asikujeruhi wala kukupa maneno makali ila maamuzi yake ya kimyakimya yatakuumiza maradufu. Vinginevo mrudie muumba wako akuepushe na hilo janga.
 
Uyo mumeo anaonekana mstarabu ndomana akakuweka kiporo bila kukurupuka. Sasa we jiandae kwa shambulizi analoplani. Yawezekana asikujeruhi wala kukupa maneno makali ila maamuzi yake ya kimyakimya yatakuumiza maradufu. Vinginevo mrudie muumba wako akuepushe na hilo janga.

mme wake ajidai.
small house
 
wewe zahrawhite MWANAUME AMEKUFADHILI ALAFU UNAKIPELEKA KWA MWINGINE.
MFADHILI MBUZI.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom