Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Wanawake wavivu utawajua tu

Mwanamke wa kichaga Hana hizo mambo anapambana analea mtoto

Hawa Ni jamii ya barabara ya vumbi kazi yao kubwa Ni kutoa ndugu zao kijijini na kuleta walipoolewa
 
Iwepo sheria ya kuwa Mwanaume na mwanamke wote wanao wajibu wa kutunza Mtoto sababu ni wao wote isipokuwa ikiwa ni surogate procedure.

Pia mtoto anayetakiwa kutunzwa na Mwanaume ni yule ambae kabla ya kutungwa mimba Mwanaume aliombwa ridhaa ya hiyari ya kuzaa na sio kufanywa kutegeshewa na mwanamke kwa hila ili kumfanya mtoto kitega uchumi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…