Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Kuna ushauri nimepata humu wa kukusanya ushahidi wa mali za baba mtoto wangu na huo ndiyo niupeleke mahakaman ili alipe kulingana na uwezo wake ,sina lengo nitajirike kupitia child support lakini nataka kama mzazi nimekwama na yeye asaidie wakati mwingine kuwa postive ni vizuri
Evil motives
 
Nimeshamwambia mara nyingi sana aje amchukue aishi naye ila hatak,kwahiyo akienda kusema hivyo mahakanan sitakua na pingamizi,

Achana naye huyo mpuuzi.
Lea mtoto wako mwenyewe, Mungu atakubariki.

Achana naye, nasisitiza achana naye.
Wala usiumie. Usimhangaishe.

Mimi nimelelewa na Upande wa Mama. Najivunia hivi nilivyo, na namshukuru Mungu Kwa mpango wake alioufanya nikalelewe hivi.

Nasisitiza, usimsumbue, muache Kama hataki kumlea Mwanaye. Mlee Kwa uwezo wako tuu, mtoto atafanya vizuri tuu.

Mpeleke shule za kawaida Ila hakikisha unamfuatilia Kwa umakini na kuikuza akili na Uelewa wake kuhusu Dunia.

Mimi Taikon nimeishi hivyo na nimelelewa hivyo. Mpaka nimemaliza Chuo kikuu na sasa najitegemea Kwa kila kitu.

Usigombane na mtu kisa mtoto wako uliyemzaa Kama hataki au anazembea kumtunza. Hiyo ni baraka. Alafu Mungu anataka akufundishe Jambo.

Unachopaswa kufanya, ni kuangalia Kwa umakini Mungu anataka kufanya nini kwenye maisha ya mtoto wako huyo.

Nimeandika mpaka yasiyohusu. Ila ni Kwa sababu naelewa Hali unayopitia na anayopitia mtoto. Lakini hiyo isikufanye kushindwa au kugombana na huyo Baba yake.

Mkaushie.
Matunda yake atayaona after 20yrs to come.
 
Hapana Ndugu.....si vyema kumhukumu mtu au kuhukumu kwa habari hii fupi ya huyu bibie....hatujui ni jambo gani lilipelekea kuvunjika kwa ndoa hiyo.......

Tusimame kwenye hoja ya msingi ambayo ni baba anakwepa uwajibikaji kwa mtoto wake......sifahamu uwezo au kipato Cha huyo mwanaume lakini kwa hali yoyote aliyonayo anapaswa kuwajibika kama baba........

Kwanini mkiachana mnakuwa maadui.... kwanini mnajenga uadui ambao muda mwingine unamuangamiza mtoto.....???

Hata kama huna kipato KIZURI kwanini msikae mkaelewana na mzazi namna nzuri ya kumlea kijana wenu.....
hatuna uhakika km anakwepa au la maana kama walikubaliana toto wa akasome hio shule why akatae kulipa? haimake sense, huyu dada inanekana aliamua kukomaa wnyw sema mambo hayajakaa vzuri now so antk jamaa alipe whch is not bad lkn km hawakukubaliana tangu mwanzo hio ni changamto maana huwez from nowhere ukamtaka mtu aanze kulipa 2mil kwa ratiba ambayo hakuianzsha pengine angeshirikishwa angekuwa na mawazo mengine, mawasiliano muhimu kwa wenza wenye watoto
 
Wanawakee mnakuwaga na maneno sana mkiachana , sasa hv mnatafuta huruma za watu.
Mimi nilitengana na mzazi mwenzangu mwaka 2019,aliniambia waz waz kuwa hana mpango na mimi na wala hataki mia yangu kwani mtoto atahudumiwa na babake mpya.Tenaakataka kubadili mpaka majina ya mtoto ili ampe huyo msengerema mwenzake.
Sasa hivi analalama sana kwa marafiki na jamaa zangu kuwa sihudumii mtoto.
Duuh Hadi mtotot anataka kubadilishwa majina?
 
Wanawake mnaopleleka wanaume zenu mahakamani kisa hawahudumii watoto akili zenu zipo migongoni.

Mtoto ni wako umem beba miezi 9 si upambane nae mwenyewe,mwanaume hataki kulea si unabadlisha hata jina la mtoto kama alikua akiitwa SAIDI JUMA unamuita SAIDI SHEILA

Yani cancel hiyo taka taka isiyojua majukumu yake,vaa umama wa asili mtoto mdogo elimu ya primary anakushinda akifika chuo utamuweza wewe?

kwanini wanawake ni legelege hivyo hata kwa mambo yenu ambayo mnatakiwa kuyavaa kisawa sawa? mwanaume halazimishwi kulea dada

huko mahakamani akiambiwa akupe 70k kila mwezi utafanyia nini hizo 70k hivi hujakutana na wanaume wehu eeh? kagoma kuhudumia hivi unafkiri ataruhusu mtoto asomeshwe shule za kulipia wakat MAMA kasema elimu ni bure?

Wanawake mfike mahali muache kulia lia na mjue kuwa kuna majukumu mengine ni yenu tu,Ashukuriwe Mungu am not a woman, mwanaume akatae hudumia mtoto wake haki angemsikia mwanae kwenye radio ya BBC tu maisha yake yote.

kwann wanawake wa siku hizi hampo tayari kuteseka kwa ajili ya watoto wenu? Kupewa mimba ndio ishakua kisingizio siku hzi,hebu jifunzeni MAMA ni zaidi ya kuingia Leba nyie kina mama.
 
ht km mmeachana ila mtoto ni wa wote waiwili so maamuz yoyte kuhusu mtoto lazima mkubaliane kwanza hio inapunguza migogoro,
 
Swali si ni kama Shule za serikali ziko vizuri kushinda private, nimekwambia hakimu hawezi kumuuliza swali kama hilo wakati mwanae na yeye yuko private school, sana sana hakimu atapambana kwa kuona mtoto ndio mhanga na ana deserve kupata elimu bora hivyo atamsupport huyu mama.....mkuu acha kunibana ...[emoji38]
Dada Anita, Sheria haijali hakimu amaishije bali Sheria inasemaje. Suala la kusema Elimu bora ipo private school ni dharau kwa serikali.

Je hujui kuwa mahakimu wanakula rushwa? Lakini cha ajabu akipelekwa mtuhumiwa mla rushwa mahakamani haohao mahakimu humuuliza kwa nini amechukua rushwa.

NB: Sio mahakimu wote ni wala rushwa.
 
Achana naye huyo mpuuzi.
Lea mtoto wako mwenyewe, Mungu atakubariki.

Achana naye, nasisitiza achana naye.
Wala usiumie. Usimhangaishe.

Mimi nimelelewa na Upande wa Mama. Najivunia hivi nilivyo, na namshukuru Mungu Kwa mpango wake alioufanya nikalelewe hivi.

Nasisitiza, usimsumbue, muache Kama hataki kumlea Mwanaye. Mlee Kwa uwezo wako tuu, mtoto atafanya vizuri tuu.

Mpeleke shule za kawaida Ila hakikisha unamfuatilia Kwa umakini na kuikuza akili na Uelewa wake kuhusu Dunia.

Mimi Taikon nimeishi hivyo na nimelelewa hivyo. Mpaka nimemaliza Chuo kikuu na sasa najitegemea Kwa kila kitu.

Usigombane na mtu kisa mtoto wako uliyemzaa Kama hataki au anazembea kumtunza. Hiyo ni baraka. Alafu Mungu anataka akufundishe Jambo.

Unachopaswa kufanya, ni kuangalia Kwa umakini Mungu anataka kufanya nini kwenye maisha ya mtoto wako huyo.

Nimeandika mpaka yasiyohusu. Ila ni Kwa sababu naelewa Hali unayopitia na anayopitia mtoto. Lakini hiyo isikufanye kushindwa au kugombana na huyo Baba yake.

Mkaushie.
Matunda yake atayaona after 20yrs to come.
Hadi umenitoa machozi! Asante kwa ushauri
 
Kwa nini mnafosi watoto wasome private schools kuanzia primary?

Kama hana pesa unadhani mahakama itamfunga?

Na btw kesi za namna hiyo haziendi mahakamani zinaenda ustawi wa jamii ambako sana sana mtashauriwa mumpeleke shule ambayo inaendana na kipato chenu..
Sahihi kabisa
 
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.

Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.

Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Huyo uliyeenda kuishi naye au aliyekuachanisha na hiyo ndoa yako kwa nini asihudumia kulipa ada ya huyo mtoto
 
Shida ya ndoa nyingi Zina matatizo hayo mkishaachana tu matokeo ni kwa mtoto ndio atakaepata shida na tuwe makini Sana na hili jambo na Hawa mama zetu Wana tabia ya kumpa maneno mtoto ya kumjenga amchukie baba.

Na sisi hili huwa tunalijua na ndio maana tunaanza kuwapotezea wote na dada yangu inawezekana baba wa mtoto ameligundua hili na akaamua kufanya hivyo hata Mimi nimeachana na mweza wangu baada ya kugundua hayo nikaamua hayo kaani na watoto wenu hata kama mmeachana
hata Mimi hivyo hivyo. huyu wa kwangu ikifika hatua ananiambia eti mtoto chakula Hana, kiwi Hana, mswaki umechakaa, nilimuoma shetani kweli kweli
 
ukute wakati mnatengana ulimporomoshea matusi/maneno mazito na kumsengenya kwa ndugu, jamaa na marafiki zakooo. Ukaishia kumwambia ... "huna lolotee mwanaume suruali kwanza una kibamiaaa...." kumbe kuna kijamaa kilikuwa kinakupa kiburi akijifanya anaweza kukusaidia kifedhaa. na jamaa nae vyuma vimekaza ndo waanza mtafuta mzazi mwenza kwa kasi ya 4 G

anyway fuata taratibu utapata stahiki yakoo

Yani hovyo sana hawa viumbe
 
Yani hovyo sana hawa viumbe
acha hizo banaaa sio wa hovyoo, changamoto inakuja pale mwanaume anapotumia nguvu na akili nyingi kusuluhisha ama kutatua tatizo la upande wa pili.

endapo umedhamiria na kuridhia kuishi na mwanamke, watakiwa uheshimu hisia zake, baadhi ya mambo yabidi uyafumbie macho na uwe ka mjinga fulanii iviii.

Fumbo mfumbe mjinga na mwerevu ataling'amuaaa
 
Back
Top Bottom