Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Ukweli ni kwamba kila mtu anataka mwanae apate a better start, hivyo nyie mnaomwambia sijui shule ni free mjifikiri au labda sio wazazi.
Akienda mahakamani akasema anataka mwanae asome elimu bora private school, mahakama ikamuuliza una ushahidi kua shule za serikali hazitoi elimu bora, unadhani atajibuje?
 
Kiufupi wanawake wanapenda sana show off ,mie mzazi mwezangu kamuhamisha mtoto darasa la NNE kumpeleka shule ya kiingereza baada ya miezi 8 kamrudisha kule kule kwa serikali

Ugomvi wetu mkubwa mie nitoe hela ya kusoma huko alikotaka yeye kwa vile nilijua huu ni mtego nikagoma

Kiufupi hakuna mwanaume asiyependa kulea mwanae ila viburi na maneno ya mama zao pamoja na kuwalisha sumu ,ukifikikia hela unayotoa unampa mamake unaghaili kabisa

Malezi bora ya mtoto wa nje yanategemea mawasiliano bora ya mama na baba sio unitukane afu uniambie nitume hela ya mtoto

Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
 
Yeye ana kipato huyu yeye hana kipato cha kutosha. Unadhani itakuaje?
Swali si ni kama Shule za serikali ziko vizuri kushinda private, nimekwambia hakimu hawezi kumuuliza swali kama hilo wakati mwanae na yeye yuko private school, sana sana hakimu atapambana kwa kuona mtoto ndio mhanga na ana deserve kupata elimu bora hivyo atamsupport huyu mama.....mkuu acha kunibana ...😆
 
Ukweli ni kwamba kila mtu anataka mwanae apate a better start, hivyo nyie mnaomwambia sijui shule ni free mjifikiri au labda sio wazazi.
Hiyo beta start ndio alivyoshauriana na Mzazi mwenzako au anataka afosi king baada ya mambo kukwama?? Kama anafosi king kupitia mahakamani anaweza akakwama, kama kulikuwa na kauli za mtoto nitamlea mwenyewe hawezi nishinda Seb linaanzaga hapa
 
Hiyo beta start ndio alivyoshauriana na Mzazi mwenzako au anataka afosi king baada ya mambo kukwama?? Kama anafosi king kupitia mahakamani anaweza akakwama, kama kulikuwa na kauli za mtoto nitamlea mwenyewe hawezi nishinda Seb linaanzaga hapa
mambo yamekwama ama hayajakwama, ukweli ni kwamba kuna mentality kuwa shule hizi za English Medium ni nzuri kwa watoto na yeye anataka the best for mwanae,na mimi sioni tatizo, mpaka kulileta humu labda anajua mzazi mwenzake anazo hela anabana tuu....mimi nakushauri mtoa mada uende mahakamani,ila jiandae kama kucheza sadakalawe,kuna kukosa na kupata... 😆
 
mambo yamekwama ama hayajakwama, ukweli ni kwamba kuna mentality kuwa shule hizi za English Medium ni nzuri kwa watoto na yeye anataka the best for mwanae,na mimi sioni tatizo, mpaka kulileta humu labda anajua mzazi mwenzake anazo hela anabana tuu....mimi nakushauri mtoa mada uende mahakamani,ila jiandae kama kucheza sadakalawe,kuna kukosa na kupata... [emoji38]
Ndiyoo English medium ziko vizuri.

Kwa hiyo hata kama kipato hakiruhusu, Ndo ufosi kusoma English medium au show off tuu
 
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.

Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.

Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.

Kwa hiyo umebaki na nyumba wewe? Hemu na yeye aje ajieleze kabla hatujakushauri
 
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.

Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.

Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.

Mliachana ili aje alipe ada. Haya ndiyo matatizo ya singo mather. Kwann msirudiane kama mlifunga ndoa. Au kwann usilipiwe ada na huyo mume uliyenae.
 
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.

Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.

Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.

Jiandae kw hoja ya kumuacha Kwa Baba yake.
Moja ya sababu ni hiyo ya kushindwa kumhudumia, pili anaumri zaidi ya 7 hivyo sheria inaruhusu akae na Baba yake.

Tatu,
NNe,
Tano,
 
Swali si ni kama Shule za serikali ziko vizuri kushinda private, nimekwambia hakimu hawezi kumuuliza swali kama hilo wakati mwanae na yeye yuko private school, sana sana hakimu atapambana kwa kuona mtoto ndio mhanga na ana deserve kupata elimu bora hivyo atamsupport huyu mama.....mkuu acha kunibana ...😆
Mmekutana ma"bush lawyers"(kumradhi kama Kuna lawyer original). Ligi yenu imenivutia lakini naona kama unataka kujitoa kiaina vile. Ha ha hahahaha AAA!
 
Ukweli ni kwamba kila mtu anataka mwanae apate a better start, hivyo nyie mnaomwambia sijui shule ni free mjifikiri au labda sio wazazi.
Kwani shule za serikali hazina better start?
Kama hana hela za kumlipia ada,mtoto asikose haki yake ya msingi ya kupata elimu,asome shule zenye elimu bure.
 
Yaani km mambo magumu ni heri umrudishe serikalini maana anaweza kujitetea hana Pesa.

Ila unaweza kujaribu.
 
Back
Top Bottom