Mtoto alelewe na mama wa kambo wakati nipo...????
Siwezi kukujibu utoto wote ulioandika hapa.....
Again kama mzazi una uwezo na hutaki kupeleka mtoto wako English Medium school kisa humpeleki unadhania kwa kufanya hvyo unamkomoa mama yake, then wewe ni dume suruali tuu...no better word to describe you!
Unaona ulivyocherema😂
Kwa hiyo mtoto alelewe na Baba WA kambo wakati Baba yake mzazi yupo sivyo,
Wanawake macherema Kama ninyi mnatakiwa Mungu awape wanaume dizaini yangu ili akili ziwakae.
Mahakamani au ustawi wa jamii, usifikiri kuna watu wajinga wajinga Kama wewe.
Hoja mwanaume atazozitoa
1. Mtoto anamiaka 9 hivyo anaweza kuishi na Baba. Hata sheria zinaeleza.
2. Mpaka tunafika hapa Mama yake(wewe) ameonyesha Hana uwezo wa kuendelea kumtunza Mtoto kutokana na mahitaji ya mtoto kuongezeka. Hivyo naiomba Mahakama au Ustawi Kwa ruhusa yenu mniruhusu nimchukue mwanangu nimlee mwenyewe. Atakuwa anaenda kumsalimia Mama yake.
Pia sitamuomba Mama yake pesa yoyote ya kumuangalia mtoto.
3. Kutokana na matukio ya ulawiti kushika Kasi, mtoto wangu nahofia kulelewa na Baba WA kambo. Wote tunajua dunia imebadilika.
4. Nafikiri mtoto nikimlee itamrahisishia Mama na taifa letu kupata mtoto Bora kwani nitamuandaa kama wenzake kufanya shughuli ndogondogo za Ujuzi
Watoto wenzake waliopo pale NYUMBANI kila mmoja anamradi wake anaousimamia, kuna anayefuga kuku, mwingine Bata mzinga, hivyo wanajenga Ujuzi hata pesa ya matumizi siwapi wanazitolea kwenye miradi Yao.
Mtoto wangu huyu Naye atakuwa kama wenzake tena hiyo pesa anaweza msaidia hata mama yake.
5. Mtoto nikimlea Mimi wala hatutarudi tena hapa ustawi wa jamii au mahakamani kuwasumbueni. Kwani mahitaji yake na haki zake zitalindwa Kwa ukaribu zaidi kuliko akiwa mbali nami.
6. Mama yake Hana kazi inayomtosheleza kumhudumia huyu mtoto.
7. Mama yake anakosa fursa ya kuolewa na kutukanwa kuwa ni single mother kisa mtoto wangu. Ni bora nimchukue mwanangu ili kumpunguzia adha na masimango kutoka Kwa jamii.
Ndugu Hakimu, au afisa ustawi sote tunajua ilivyongumu Kwa Mwanaume kuoa single mother, ndio maana Kwa kumsaidia mwenzangu ili apate mtu mwingine nimeonelea mahakama iniruhusu nimlee mwanangu
8. Tunawapa mzigo watu wasiohusika.
Kwa nini mtoto wangu awe mzigo Kwa Baba yake wa kambo ilhali Mimi nipo, pesa kuigawanya ni ngumu ndio maana naomba mwanangu ajumuike huku na apunguze mzigo Kwa Baba WA kambo. Wote tunajua maisha ni magumu