Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Mzazi mwenzangu hahudumii mtoto; nataka nimpeleke mahakamani

Hapa amekuja kuuliza kama aende mahakamani, mtoa mada nenda...ukikosa ndio umpeleke mtoto shule ya serikali. Nani asiyetaka mtoto wake aongee ngeli au aone uone mtoto wa mwenzio anaongea ngeli wakati wako haongei... 😆 😆 na wakati unajua au unaona mzazi mwenzio ana uwezo wa kumpeleka mtoto?!...kusema tu 'sina uwezo' haitoshi...anahitajika ku verify mahakamani...mtoa mada nenda mwaya...mbivu na mbichi utazijua huko huko
Wewe unamponza mwenzio, nyumba so kaachiwa??.... Apambane na Hali yake, hiyo Hela ya kutafuta wanasheria wa kukutetea kamalizie ada ya mwanao huko ingilishi midiam, au kuondoa mzizi wa fitna mpeleke mtoto Kwa baba yake asome huko huko baba ataamua shule ya kumpeleka mtoto wake usimlazimisheee!!!! Usikute ni wivu tu unamsumbua baada ya kuona Kuna mwanamke mwenzie analamba asali aliyoimwaga yeye.
 
Vipi Kama Baba wa mtoto au wakili wake akimuuliza Hilo swali unazani atakuwa na uwezo wa kulijibu?
Honestly sidhani...ila pia sidhani kama watamuuliza, sababu hio mentality shule za private ni nzuri kwa watoto haipo kwa watu ambao watakuwepo hapo mahakamani peke yake....hili ni jambo lipo hata wakitoka kupata chai nje ya mahakama...
 
😂😂😂
Limwanaume suruali ndio limekuzalisha kumaanisha na wewe ni hamnazo tuu!

Sio lazima mtoto aende Private,

Yaani ukifika Mahakamani au ustawi wa jamii usijeongea mambo ya kipuuzi kama hayo Utaonekana kichwani ni chenga/cherema.
Ustawi wataona ndio maana uliachwa Kwa akili matope.

Mtoto anamiaka 9 amekushinda peleka Kwa Baba yake. Hutaki lea uwezavyo.

Mnajifanya mnaupendo Kwa watoto kumbe ujinga na upumbavu tuu.

Tangu lini upendo ukazidi Uwezo Kama sio akili za kijinga.

Baba yake labda anawatoto WA nje wengine wanne unafikiri ustawi wa jamii atasemaje,
Kipato changu ni 500,000 Kwa mwezi ninawatoto WA NNE, uwezo wangu ni Kutoa elfu 60.
Kama ataiona ndogo anipe mwanangu nilee.

TATIZO Lenu wanawake mnadhani nikizaa na wewe basi kwengine sina watoto. Hivyo unadhani mtoto wako ndio spesho.

Mtoto anayefaidi pesa ya Baba yake mara nyingi ni Yule anayetoka Kwa mwanamke anayejielewa/anayemheshimu Mume
Mtoto alelewe na mama wa kambo wakati nipo...????

Siwezi kukujibu utoto wote ulioandika hapa.....

Again kama mzazi una uwezo na hutaki kupeleka mtoto wako English Medium school kisa humpeleki unadhania kwa kufanya hvyo unamkomoa mama yake, then wewe ni dume suruali tuu...no better word to describe you!
 
Wewe unamponza mwenzio, nyumba so kaachiwa??.... Apambane na Hali yake, hiyo Hela ya kutafuta wanasheria wa kukutetea kamalizie ada ya mwanao huko ingilishi midiam, au kuondoa mzizi wa fitna mpeleke mtoto Kwa baba yake asome huko huko baba ataamua shule ya kumpeleka mtoto wake usimlazimisheee!!!! Usikute ni wivu tu unamsumbua baada ya kuona Kuna mwanamke mwenzie analamba asali aliyoimwaga yeye.
Mnhhh....nyumba kuachiwa na ada ya mtoto ni vitu tofauti...umeamua tu kuwa mbishi...kisa mnadhani huyo mama anafaidi sana kwa mtoto kukaa nae..men are soo selfish at times..sijui kwa vile hamzai?
 
Siku hizi humu jukwaani kumejaa watoto wadogo sana wanaotumia sehemu ndogo sana ya akili zao kujibu au kutatua mambo......utalifahamu hilo kupitia majibu yao.....

Kuachana na mwenza ni vitu vya kawaida kutokana na changamoto kadhaa ambazo pengine zimeshindwa kutatulika na wawili hao wakamua kwa amani na usalama kila mmoja aishi maisha yake......

Lakini kutengana na mwenza hakuondoi uwajibikaji wako kama mzazi juu ya mtoto au watoto wenu.....kwa maana ya kuhakikisha watoto au mtoto anapata huduma sitahiki kulingana na uwezo au kipato Cha mzazi wake.......

Vijana wengi wakichana na mwenza wanatoa sababu zisizo na kichwa wala miguu ili kuepuka uwajibikaji kama baba wa mtoto......na ndio maana mamlaka au taasisi zinazosimamia Hilo kwa manufaa na maslahi ya mtoto na sio mama.......

Unapoachana na mkeo jukumu la kumuhdumia mwanamke ndio linakoma hapo na linabakia la watoto au mtoto wako........

Ewe Binti kama una hakika uwezo wa kuhudumia kwa maana ya kipato anao basi fuata taratibu ili alazimishwe kufanya hizo na mamlaka kama ameshindwa kuwajibika kwa khiyari yake........

Guys hivi mnajenga taswira gani kwa watoto wenu hapo mbeleni angali anashuhudia mnavyokimbizana mahakamani au kwenye korido za ustawi wa jamii na mama yake ili kukulazimisha wewe kumhudumia......hivi unadhani mtoto atakuthamini kama baba.....??

Vijana msitumie mzigo wa malezi ya mtoto kama njia za kuwaadhibu wanawake mlioachana nao.....wajibika kama baba ili kuendelea kujenga uhusiano mzuri na watoto wenu.......maneno mabaya atakayolishwa na mama yake kwa hasira na visirani vinazimwa na matendo mema kwake..,....
Acha ngonjera, hayo ma-slay and drama queens lazima wajifunze in a hard way.
 
Honestly sidhani...ila pia sidhani kama watamuuliza, sababu hio mentality shule za private ni nzuri kwa watoto haipo kwa watu ambao watakuwepo hapo mahakamani peke yake....hili ni jambo lipo hata wakitoka kupata chai nje ya mahakama...
Akienda mahakamani kwa hoja ya kupewa Ada ya mwanae kesi anapoteza kwa nock out mapema sana maana elimu ni bure. Akienda kwa hoja ya matunzo ya mtoto anaweza kuishia kupewa 30k kwa mwezi au anapoteza kesi na mtoto kabisa maana dogo kashafikisha miaka 8+ Sheria inamruhusu Baba kukaa na mwanaye .In short Hana pa kutokea akizubaa mume anaweza akasema wauze nyumba wagawane Mali ambapo itakua hasara kwake.
 
Mtoto alelewe na mama wa kambo wakati nipo...????

Siwezi kukujibu utoto wote ulioandika hapa.....

Again kama mzazi una uwezo na hutaki kupeleka mtoto wako English Medium school kisa humpeleki unadhania kwa kufanya hvyo unamkomoa mama yake, then wewe ni dume suruali tuu...no better word to describe you!

Unaona ulivyocherema😂

Kwa hiyo mtoto alelewe na Baba WA kambo wakati Baba yake mzazi yupo sivyo,

Wanawake macherema Kama ninyi mnatakiwa Mungu awape wanaume dizaini yangu ili akili ziwakae.

Mahakamani au ustawi wa jamii, usifikiri kuna watu wajinga wajinga Kama wewe.

Hoja mwanaume atazozitoa
1. Mtoto anamiaka 9 hivyo anaweza kuishi na Baba. Hata sheria zinaeleza.
2. Mpaka tunafika hapa Mama yake(wewe) ameonyesha Hana uwezo wa kuendelea kumtunza Mtoto kutokana na mahitaji ya mtoto kuongezeka. Hivyo naiomba Mahakama au Ustawi Kwa ruhusa yenu mniruhusu nimchukue mwanangu nimlee mwenyewe. Atakuwa anaenda kumsalimia Mama yake.
Pia sitamuomba Mama yake pesa yoyote ya kumuangalia mtoto.

3. Kutokana na matukio ya ulawiti kushika Kasi, mtoto wangu nahofia kulelewa na Baba WA kambo. Wote tunajua dunia imebadilika.

4. Nafikiri mtoto nikimlee itamrahisishia Mama na taifa letu kupata mtoto Bora kwani nitamuandaa kama wenzake kufanya shughuli ndogondogo za Ujuzi
Watoto wenzake waliopo pale NYUMBANI kila mmoja anamradi wake anaousimamia, kuna anayefuga kuku, mwingine Bata mzinga, hivyo wanajenga Ujuzi hata pesa ya matumizi siwapi wanazitolea kwenye miradi Yao.
Mtoto wangu huyu Naye atakuwa kama wenzake tena hiyo pesa anaweza msaidia hata mama yake.

5. Mtoto nikimlea Mimi wala hatutarudi tena hapa ustawi wa jamii au mahakamani kuwasumbueni. Kwani mahitaji yake na haki zake zitalindwa Kwa ukaribu zaidi kuliko akiwa mbali nami.

6. Mama yake Hana kazi inayomtosheleza kumhudumia huyu mtoto.

7. Mama yake anakosa fursa ya kuolewa na kutukanwa kuwa ni single mother kisa mtoto wangu. Ni bora nimchukue mwanangu ili kumpunguzia adha na masimango kutoka Kwa jamii.
Ndugu Hakimu, au afisa ustawi sote tunajua ilivyongumu Kwa Mwanaume kuoa single mother, ndio maana Kwa kumsaidia mwenzangu ili apate mtu mwingine nimeonelea mahakama iniruhusu nimlee mwanangu

8. Tunawapa mzigo watu wasiohusika.
Kwa nini mtoto wangu awe mzigo Kwa Baba yake wa kambo ilhali Mimi nipo, pesa kuigawanya ni ngumu ndio maana naomba mwanangu ajumuike huku na apunguze mzigo Kwa Baba WA kambo. Wote tunajua maisha ni magumu
 
Mnhhh....nyumba kuachiwa na ada ya mtoto ni vitu tofauti...umeamua tu kuwa mbishi...kisa mnadhani huyo mama anafaidi sana kwa mtoto kukaa nae..men are soo selfish at times..sijui kwa vile hamzai?
Nikuambie tu ukweli huyo dada anajua vizuri kwamba na yeye atafaidika, sio suala la selfish, kwa sababu kitendo Cha mwanaume kumuachia nyumba mwanamke ambaye ndoa Yao imedumu muda mfupi maana yake anajali ustawi wa mtoto wake, na haya yanazungumzwa hapa yamkini yako katika uhalisia huo japo mtoa mada hajataka kufunguka, kama mama anataka mwanae asome shule bora na anaamini Mzazi mwenzie ana Maisha mazuri ampeleke mtoto Kwa baba yake huko Baba ataamua mwanae asome shule gani hakuna Mzazi ambaye hapendi mwanae asome pazuri na uwezo anao, hebu jiulize kwanini huyu dada anakimbilia mahakamani?? Anajuafika kwamba mahakama itakuwa upande wake na itamuamuru baba alipe na Hela ya matunzo hapo mama atapata faida na kama mwanaume huyo anaishi na mwanamke hapo usijefikiri mama mtoto anamkomoa mwanaume no hapo analenga kumkomoa mwanamke mwenzie anayelamba sukari, swali la kujiuliza unafikiri huyo baba huko Hana watoto wengine na je ikithibitika anawatoto wengine ambayo wanamtegemea hiyo mahakama Bado itamlazimisha apeleke mtoto ingilishi midiamu??? Msitafute huruma kupitia watoto, huyo Mtoto hakubakwa alikubali Kwa Moyo mweupe na kumtunza amtunze Kwa Moyo mweupe hivyoo hivyo bila kutafuta sababu na visingizio
 
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.

Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.

Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Mmepeleka shule za kulipia mtoto ili nini? Mnavurugaga mambo wenyewe halafu unadhani utamsumbua mtu? Mahakama hata ikiamua, utakutana na pesa ndogo tu kulingana na kipato chako na majukumu mengine aliyo nayo vitagawanywa, bado utaendelea kulalamika tu, the way atapewa mtoto wake amchukue kisheria na hatashindwa.

Wanawake wengi hutibua ndoa na kuwatumia watoto kama siraha ambayo hainaga risasi za kutosha
 
Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.

Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.

Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Shida hapa ni kujua yupi ni tatizo kati yako na yeye. Maana inaonekana mliachana kwa shari mpaka akakuachia na nyumba, bado na yeye ana maumivu. Nikushauri tu kama ana pesa kukuzidi/mtu mwenye uwezo kifedha, jaribu kutumia hekima katika kudai hiyo pesa ya ada isije mwisho wa siku ukajutia maamuzi ya kumpeleka mahakamani. Pesa ina nguvu sana.
 
Unaona ulivyocherema😂

Kwa hiyo mtoto alelewe na Baba WA kambo wakati Baba yake mzazi yupo sivyo,

Wanawake macherema Kama ninyi mnatakiwa Mungu awape wanaume dizaini yangu ili akili ziwakae.

Mahakamani au ustawi wa jamii, usifikiri kuna watu wajinga wajinga Kama wewe.

Hoja mwanaume atazozitoa
1. Mtoto anamiaka 9 hivyo anaweza kuishi na Baba. Hata sheria zinaeleza.
2. Mpaka tunafika hapa Mama yake(wewe) ameonyesha Hana uwezo wa kuendelea kumtunza Mtoto kutokana na mahitaji ya mtoto kuongezeka. Hivyo naiomba Mahakama au Ustawi Kwa ruhusa yenu mniruhusu nimchukue mwanangu nimlee mwenyewe. Atakuwa anaenda kumsalimia Mama yake.
Pia sitamuomba Mama yake pesa yoyote ya kumuangalia mtoto.

3. Kutokana na matukio ya ulawiti kushika Kasi, mtoto wangu nahofia kulelewa na Baba WA kambo. Wote tunajua dunia imebadilika.

4. Nafikiri mtoto nikimlee itamrahisishia Mama na taifa letu kupata mtoto Bora kwani nitamuandaa kama wenzake kufanya shughuli ndogondogo za Ujuzi
Watoto wenzake waliopo pale NYUMBANI kila mmoja anamradi wake anaousimamia, kuna anayefuga kuku, mwingine Bata mzinga, hivyo wanajenga Ujuzi hata pesa ya matumizi siwapi wanazitolea kwenye miradi Yao.
Mtoto wangu huyu Naye atakuwa kama wenzake tena hiyo pesa anaweza msaidia hata mama yake.

5. Mtoto nikimlea Mimi wala hatutarudi tena hapa ustawi wa jamii au mahakamani kuwasumbueni. Kwani mahitaji yake na haki zake zitalindwa Kwa ukaribu zaidi kuliko ak baba alivyomwachia mtoto mama hakujua kuna ulawiti sijui mambo gani..

Baba alivyomwacha mtoto kwa mama yake hakujua kuna ulawiti sijui mambo gani..unandika mambo ya kufikirika ......Kwa kheri.
 
Nikuambie tu ukweli huyo dada anajua vizuri kwamba na yeye atafaidika, sio suala la selfish, kwa sababu kitendo Cha mwanaume kumuachia nyumba mwanamke ambaye ndoa Yao imedumu muda mfupi maana yake anajali ustawi wa mtoto wake, na haya yanazungumzwa hapa yamkini yako katika uhalisia huo japo mtoa mada hajataka kufunguka, kama mama anataka mwanae asome shule bora na anaamini Mzazi mwenzie ana Maisha mazuri ampeleke mtoto Kwa baba yake huko Baba ataamua mwanae asome shule gani hakuna Mzazi ambaye hapendi mwanae asome pazuri na uwezo anao, hebu jiulize kwanini huyu dada anakimbilia mahakamani?? Anajuafika kwamba mahakama itakuwa upande wake na itamuamuru baba alipe na Hela ya matunzo hapo mama atapata faida na kama mwanaume huyo anaishi na mwanamke hapo usijefikiri mama mtoto anamkomoa mwanaume no hapo analenga kumkomoa mwanamke mwenzie anayelamba sukari, swali la kujiuliza unafikiri huyo baba huko Hana watoto wengine na je ikithibitika anawatoto wengine ambayo wanamtegemea hiyo mahakama Bado itamlazimisha apeleke mtoto ingilishi midiamu??? Msitafute huruma kupitia watoto, huyo Mtoto hakubakwa alikubali Kwa Moyo mweupe na kumtu

Yaani kumsomesha mtoto ni mpaka awe kwa baba yake?? ndio maana nikasema mko selfish, mnaona huyo mama anafaidi sana.... kama anaona ugumu si atoe ada shuleni moja kwa moja???
 
Baba alivyomwacha mtoto kwa mama yake hakujua kuna ulawiti sijui mambo gani..unandika mambo ya kufikirika ......Kwa kheri.

Alimuachia mama Kwa sababu Mama yake alizuia, pia sheria inakataza mtoto chini ya miaka 7 anahaki kupata malezi na upendo WA Mama.
Labda Kwa Hali ya dharura tuu.

Ninyi ndio mnaafikiria vitu ambavyo havipo. Kisa umezaa tuu basi unaona kila kitu ni Haki Kwa mwanao, Acheni uchizi.
Sio wewe Tu uliyezaa mwanaume uliyemzaa Naye anawatoto Kama wako Kwa wanawake wengine Kama wanne hivi.

Kwa heri
 
Yaani kumsomesha mtoto ni mpaka awe kwa baba yake?? ndio maana nikasema mko selfish, mnaona huyo mama anafaidi sana.... kama anaona ugumu si atoe ada shuleni moja kwa moja???

Aliyechagua shule ndio alipe Ada.
Mbona unashindwa kuelewa mambo madogo.

Yaani kuna wanawake ukizaa nao inakuwa Kama umezaa na mwendawazimu.

Shule uchague wewe alafu mwanaume uliyezaa Naye alipe Ada. 😂😂
 
Yaani kumsomesha mtoto ni mpaka awe kwa baba yake?? ndio maana nikasema mko selfish, mnaona huyo mama anafaidi sana.... kama anaona ugumu si atoe ada shuleni moja kwa moja???
Nakuambiaje Tena, hizo hoja za uselfish mahakamani hazipo mwambie shost yako asiende mahakamani aendelee tu kukomaa maana atapoteza Kila kitu na uhalali wa kukaa na huyo mtoto, maana Mtoto ana miaka 9 anaruhusiwa kwenda Kwa baba yake, baba ndo ataamua mwanangu asome wapi ssio mnajichulia tu uamuzi halafu mkimbilie mahakani kisa mnatetewa, mnavuruga Ili mje na hoja za ustawi wa mtoto
 
Alimuachia mama Kwa sababu Mama yake alizuia, pia sheria inakataza mtoto chini ya miaka 7 anahaki kupata malezi na upendo WA Mama.
Labda Kwa Hali ya dharura tuu.

Ninyi ndio mnaafikiria vitu ambavyo havipo. Kisa umezaa tuu basi unaona kila kitu ni Haki Kwa mwanao, Acheni uchizi.
Sio wewe Tu uliyezaa mwanaume uliyemzaa Naye anawatoto Kama wako Kwa wanawake wengine Kama wanne hivi.

Kwa heri

Yes kila kitu ni haki kwa mtoto,...una watoto watano,kumi it doesnt matter unatakiwa uwahudumie wote ipasavyo, sio kwa sababu uko bitter umeacha nyumba na aliyekua mkeo ana mtu mwingine then uhudumie watoto wengine huyu umuache,

Na kisha huyu mtoa mada sio mjinga kutokujua hapa hakuna pesa....

Mtoto ulawiti sijui nini hata akienda kwa baba anaweza kuwa vulnerable..ndio maana nikasema umeandika vitu vya kufikirika.
 
Back
Top Bottom