Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,341
- 2,121
Sasa unataka sifa alafu huwezi kuzigharamikia, huo ni uchizi.
Ni Sawa na Baba ambaye hajamtunza na kumlea mtoto alafu mtoto akifanikiwa ndio amshobokee mtoto. Ndio kesi Kama hii.
Mama na Baba wanahaki Sawa katika matunzo ya mtoto. Ikitokea kutengana taritbu zinafuatwa kulingana na uwezo wa wawili HAO.
Huna uwezo iwe WA Akili, uchumi, maadili hovyo basi unakosa vigezo vya kuishi na mtoto.
Huyu baba ana uwezo kiuchumi,kiakili sina uhakika kimaadili, huyu mwanamke sio mjinga kutojua aliyekuwa mume wake ana uwezo wa kumhudumia mwanae.
Kuwashobokea watoto unazunguka sana, huyo baba kama ana uwezo amhudumie mwanae,period. Na kisha labda mambo ni mengi tu huyu mtoto ananyimwa mpaka kum frustrate huyu mama,..