EMANUEL JOHN JOHN
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 502
- 461
Naona ushauri ume base,mtoto kwenda kwa baba ake.Wanajf mnaupiga mwingi kumshaur mtoa mada, kongole sana[emoji106]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona ushauri ume base,mtoto kwenda kwa baba ake.Wanajf mnaupiga mwingi kumshaur mtoa mada, kongole sana[emoji106]
Huyo unayejibishana naye kaachwa hivo ana hasira za kuachwaAliyechagua shule ndio alipe Ada.
Mbona unashindwa kuelewa mambo madogo.
Yaani kuna wanawake ukizaa nao inakuwa Kama umezaa na mwendawazimu.
Shule uchague wewe alafu mwanaume uliyezaa Naye alipe Ada. [emoji23][emoji23]
Nacho ona wanawake ni selfish sana kama ivyo.Uliwahi sikia kesi ustawi WA jamii au mahakamani kuwa Mwanaume kaenda kushtaki mama watoto hamhudumii Mtoto? Jibu ni hapana.
Wanawake hawatumi na wala hakuna sheria inayowabana watume.
Ingawaje wapo wanawake wanaowatumia watoto wao pindi wakikua/wakijitambua
Sasa mentality na uhalisia vimeumana haya apambane. "Cut your cloth accordingly to your size".mambo yamekwama ama hayajakwama, ukweli ni kwamba kuna mentality kuwa shule hizi za English Medium ni nzuri kwa watoto na yeye anataka the best for mwanae,na mimi sioni tatizo, mpaka kulileta humu labda anajua mzazi mwenzake anazo hela anabana tuu....mimi nakushauri mtoa mada uende mahakamani,ila jiandae kama kucheza sadakalawe,kuna kukosa na kupata... 😆
Mliachana au mlitengana?Ilikuwa ndoa ya kanisa au msikitini?Ada ya shule ni kiasi gani?Shule za bure si zipo?Anatoa matunzo ya mengine?Ana uhusiano mzuri na mtoto?Ana watoto wengine?Kabla hujaenda mahakamani jijibu hayo maswali ili ukienda ujue unaenda kudai nini haswaaa.Naomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Loh pole sanaNaomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Sidhani kama kuna sehemu huyu mtoa mada amesema au kuandika kuwa baba wa mtoto amemuachia nyumba....??Yani MTU umuachie Nyumba halafu akulazimishe umtumie ada ya Shule Binafsi? Akienda kulipa anamdanya Mtoto kuwa yeye ndio amelipa na baba yake amemtelekeza hamjali!! Watoto Hao wanaosomeshwa Vizuri na baba zao wakilelewa na akina mama wapumbavu wanakua hatari sana baadae kwani wanadanganywa kuwa ada ya mamilioni alikua anatoa mana Kwa vikoba na kuuza vitunbua kumbe ni uongo.
Kifupi tu kama Mtoto amemshindwa basi amkabidhi Mtoto Kwa baba yake na apangishe Nyumba yeye Yuko huru kuolewa na MTU Mwingine Maisha yasonge mbele
Nikiuliza na nani, utaweza kunijibu?Huyo unayejibishana naye kaachwa hivo ana hasira za kuachwa
Hata mm nilipatwa na hili JamboShida ya ndoa nyingi Zina matatizo hayo mkishaachana tu matokeo ni kwa mtoto ndio atakaepata shida na tuwe makini Sana na hili jambo na Hawa mama zetu Wana tabia ya kumpa maneno mtoto ya kumjenga amchukie baba.
Na sisi hili huwa tunalijua na ndio maana tunaanza kuwapotezea wote na dada yangu inawezekana baba wa mtoto ameligundua hili na akaamua kufanya hivyo hata Mimi nimeachana na mweza wangu baada ya kugundua hayo nikaamua hayo kaani na watoto wenu hata kama mmeachana
Na mimi nashangaa Wana uhakika gani huyo Mama kaachiwa nyumba na Mzazi mwenzie?What if Nyumba ni ya Mwanamke mwenyewe aidha alijenga ama Karithi kwa wazazi wake?Sidhani kama kuna sehemu huyu mtoa mada amesema au kuandika kuwa baba wa mtoto amemuachia nyumba....??
Wanawake ni mabingwa wa kauli za kishujaa ila mziki ukiwa mnene wanarudishaga majeshi nyuma na kuanza kulia lia wapewe child supportHiyo beta start ndio alivyoshauriana na Mzazi mwenzako au anataka afosi king baada ya mambo kukwama?? Kama anafosi king kupitia mahakamani anaweza akakwama, kama kulikuwa na kauli za mtoto nitamlea mwenyewe hawezi nishinda Seb linaanzaga hapa
Sasa mtoto kumlisha utalinganisha na ada? Ada kwa mwaka kwa shule za wapenda show off inaweza fika hata 4M kwa mwaka 😅 yeye kajichagulia kipengele cha kumlisha ambacho mtoto anakula kile kile anachokula yeye which is inexpensive compared na malundo ya school fees, unapigiwa simu inatakiwa laki 8 ya ada fasta.Na mimi nashangaa Wana uhakika gani huyo Mama kaachiwa nyumba na Mzazi mwenzie?What if Nyumba ni ya Mwanamke mwenyewe aidha alijenga ama Karithi kwa wazazi wake?
Pia Mtoa Mada kasema anataka Ampeleke Mahakamani Mzazi mwenzie ili Japo asaidiwe kulipa Ada tu, means Huyo Baba hatoi matunzo yoyote ya Mtoto ila huyu Mtoa Mada kaomba asaidiwe Ada tu hayo mengine anayamudu mwenyewe.
mambo yamekwama ama hayajakwama, ukweli ni kwamba kuna mentality kuwa shule hizi za English Medium ni nzuri kwa watoto na yeye anataka the best for mwanae,na mimi sioni tatizo, mpaka kulileta humu labda anajua mzazi mwenzake anazo hela anabana tuu....mimi nakushauri mtoa mada uende mahakamani,ila jiandae kama kucheza sadakalawe,kuna kukosa na kupata... 😆
Sasa hapo furushi si mwanamke aliefosi kuondoka kwa kiburi huku akijifanya superwoman. Mtoto arudi kwa baba yakeMafurushi wenzie wanacoment takataka tu kama huyo furushi mwenzao. Kuachana kwenu hakupaswi kulipwa na mtoto wenu, mnapaswa kutafuta namna bora ya kumlea huyo mtoto maana hakuwaomba mumzae.
Kwanza kitendo cha nyie kuachana tayari ni doa kwenye maisha yake then bado mnamuongezea stress kwa upuuzi. Hebu muwapimage akili haya mafurushi kabla hamjaolewa nayo wala hamjayazalia.
MKIISHA TALIKIANA AU TENGANANaomba msaada wa namna bora au mwanasheria atakayenisaidia kumpeleka mahakaman baba mtoto wangu ili angalau awe analipa ada tu.
Mtoto ana miaka 9 yuko darasa la nne siku zote nimekua nikimlipia ada na matumizi yote lakini safari hii hali imekua ngumu nimeshindwa na nimemuambia kiungwana tu kakataa kasema hana hela niuze nyumba nimlipie ada mtoto.
Alikua ni mtoto wa kwenye ndoa ila tuliachana kabla mtoto hajaanza shule.
Nyakati hizi tuna vijana wa kiume wanaokuwa miili tu lakini akili zinabakia pale pale.......ukifuatilia hii michango utalifahamu hilo.....na ndio chimbuko la mabinti wanaoitwa single moms.......Na mimi nashangaa Wana uhakika gani huyo Mama kaachiwa nyumba na Mzazi mwenzie?What if Nyumba ni ya Mwanamke mwenyewe aidha alijenga ama Karithi kwa wazazi wake?
Pia Mtoa Mada kasema anataka Ampeleke Mahakamani Mzazi mwenzie ili Japo asaidiwe kulipa Ada tu, means Huyo Baba hatoi matunzo yoyote ya Mtoto ila huyu Mtoa Mada kaomba asaidiwe Ada tu hayo mengine anayamudu mwenyewe.
Wewe kama uliachika kwa mbwembwe na kujidaia utammudu mtoto komaaYaani kumsomesha mtoto ni mpaka awe kwa baba yake?? ndio maana nikasema mko selfish, mnaona huyo mama anafaidi sana.... kama anaona ugumu si atoe ada shuleni moja kwa moja???