Mzazi mwenzie na Afande Sele (Mama Tunda) Amefariki

Mzazi mwenzie na Afande Sele (Mama Tunda) Amefariki

Tujuzane mazishi yatakuwa lini na saa ngapi....ili tushiriki..maana waislamu hawachelewi kuzika.
 
Mwenzio kafiwa, we wazungumzia papuchi na dushelele, mbona hueleweki??? Unaingiza mada ambao aiendani na mada iliopo!!!
 
Bad news sana mbona jpil nilikutana nae maeneo ya mafiga moro anashuka kwa.pikipiki alikuwa fine na fully stor na.jamaa.daaa R.I.P
 
Back
Top Bottom