Mzazi mwenzie na Afande Sele (Mama Tunda) Amefariki

Mzazi mwenzie na Afande Sele (Mama Tunda) Amefariki

1.jpg
 
Sina uhakika slim5, kwanza hata sijui msiba uko morogoro au dar, manake taarifa za mwisho mama tunda na mumewe walikuwa wametengana

Nimesikia kuwa msiba upo morogoro na kuwa atazikwa leo saa 10 makaburi ya Kola
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: ram
Bad news sana mbona jpil nilikutana nae maeneo ya mafiga moro anashuka kwa.pikipiki alikuwa fine na fully stor na.jamaa.daaa R.I.P

Sasa uliyekutana nae na pikipiki nani, Afande Sele? Hapa wanasema aliyefariki ni mama watoto wake.
 
R.I.P mama tunda muke ya mbunge mtarajiwa muji kasoro bahari a.k.a baba kapajama au ka-boxer.
 
Nimeona Fb hii kitu sijui kama kweli.... na kama ni kweli Mungu amjaalie nguvu na utulivu katika kipindi hiki kigumu.
 

Attachments

  • 1408015483218.jpg
    1408015483218.jpg
    71.7 KB · Views: 415
sasa we unajua mi nina miaka mingapi?

maswal ya kizee haijalishi umri gan.unao.huu ni ugonjwa unaofanya ubongo udumae kwa.kukosa virutubisho ubongo ukisinyaa na kupoteza uwezo wake ndio kuzeeka.na watu kama hawa mwushowe huishia kuwa matahira na waropokaji sana
 
jifunze kuelewa hutauliza maswal ya kizee kama.haya.mm nilikutana na mama tunda

acha upimbi! Umeandika umekutana na 'jamaa', which implies AFANDE.

DIV 5...!!!
 
Back
Top Bottom