Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
NA ENDAPO UKISHINDWA KUTAJA HAPO NDIPO UNATAKIWA UKUBALIANE NA MZEE AKILIMALI KUWA YANGA NI ZAID YA MANJI NA.SIKU ZOTE MFANYABIASHARA NI MTU MJANJA SANA ANAKUWA KIMASLAHI ZAID
Labda nijibu swali kwa swali
Nitajie kiongozi wa Yanga kabla ya Manji ambaye amefanya kitu wewe unacho hisi unakikumbuka mpaka leo.
Ukifanikiwa kumtaja ntarudi, ukishindwa kumtaja maana yake hakuna kiongoz wa yanga alowagi fanya chochote