Mzee Ali Kibao alikuwa ni Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA

Mzee Ali Kibao alikuwa ni Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Kumbe Mzee Ali Kibao alikuwa ni Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, na sasa ni marehemu. Ilibidi nitafute taarifa za wajumbe wa kamati kuu ambao wamefariki kabla ya kikao cha kamati kuu kilichojadili ishu ya pesa za Abduli na ambao wapo hai mpaka hivi sasa. NI MZEE ALI KIBAO PEKE YAKE NDIYE KAFA!! katika time frame hii. Baada ya Kauli ya makamu mwenyekiti kusema kuwa ushahidi wa Pesa za brother Duli kuwahonga viongozi wa CHADEMA ulithibitishwa ndani ya kikao cha kamati kuu na mjumbe mmoja ambaye sasa ni marehemu, Imebidi tuchunguze ni mjumbe gani wa kamati kuu ambaye kafa na kifo chake kinaangukia ktk time frame ya sakata la pesa za brother Duli.

AISEE NIMEOGOPA AISEE!. HII NCHI INA UMAFIA WA AJABU MNO!.

Bora Makamu kalisanua mapema, hii ishu kumbe ingeumiza wengi kama si kuondoka na wengi!

Hapa Chini ni tweet ya Boni Yai akithibitisha kuwa Mzee Kibao alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA!

1735123697595.png
 
Mkuu,

Kwa hiyo unataka kusema nini hapa? Mzee Ali Kibao kauawa na serikaki kwa sababu ya kujua mengi issue ya Duli?

Lissu akihojiwa clubhouse juzi aliulizwa swali kama kuna watu walikuwa wanafahamu ishu hiyo ya pesa za Abduli akasema kuna mjumbe mmoja wa kamati kuu ambaye kwa sasa ni marehemu aliithibitishia kamati kuu kuwa anayosema Lissu ni kweli!.

Sasa ni mjumbe mmoja tu wa kamati kuu aliyefariki baada ya kikao cha kamati kuu kujadili hizo pesa za Abduli, na mjumbe huyo ni mzee Kibao!
 
Uzuri wa Lissu ni msema kweli. Yaani watanzania mmechezewa sana na upinzani biashara wa akina Mbowe.

Safari hii ni ama upinzani wa kweli uzaliwe upya chini ya Lissu au watanzania waachane na SACCOS ya familia ya Mbowe na genge lake la watu wa system.
 
Lissu akihojiwa clubhouse juzi aliulizwa swali kama kuna watu walikuwa wanafahamu ishu hiyo ya pesa za Abduli akasema kuna mjumbe mmoja wa kamati kuu ambaye kwa sasa ni marehemu aliithibitishia kamati kuu kuwa anayosema Lissu ni kweli!.

Sasa ni mjumbe mmoja tu wa kamati kuu aliyefariki baada ya kikao cha kamati kuu kujadili hizo pesa za Abduli, na mjumbe huyo ni mzee Kibao!
Hapo nimekupata, lakini swali langu hujanijibu.
 
Mkuu,

Kwa hiyo unataka kusema nini hapa? Mzee Ali Kibao kauawa na wasiojulikana kwa sababu ya kujua mengi issue ya Duli?
Mama Duli alisema ni kifo cha kawaida tu.
 
Kumbe Mzee Ali Kibao alikuwa ni Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, na sasa ni marehemu. Ilibidi nitafute taarifa za wajumbe wa kamati kuu ambao wamefariki kabla ya kikao cha kamati kuu kilichojadili ishu ya pesa za Abduli na ambao wapo hai mpaka hivi sasa. NI MZEE ALI KIBAO PEKE YAKE NDIYE KAFA!! katika time frame hii. Baada ya Kauli ya makamu mwenyekiti kusema kuwa ushahidi wa Pesa za brother Duli kuwahonga viongozi wa CHADEMA ulithibitishwa ndani ya kikao cha kamati kuu na mjumbe mmoja ambaye sasa ni marehemu, Imebidi tuchunguze ni mjumbe gani wa kamati kuu ambaye kafa na kifo chake kinaangukia ktk time frame ya sakata la pesa za brother Duli.

AISEE NIMEOGOPA AISEE!. HII NCHI INA UMAFIA WA AJABU MNO!.

Bora Makamu kalisanua mapema, hii ishu kumbe ingeumiza wengi kama si kuondoka na wengi!

Hapa Chini ni tweet ya Boni Yai akithibitisha kuwa Mzee Kibao alikuwa mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA!

View attachment 3184684
Haya nimeyataja kitamboa, nimekuita kqenye uzi flani
 
Back
Top Bottom