Mzee Ali Kibao alikuwa ni Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA

Mzee Ali Kibao alikuwa ni Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA

iBaada ya Kauli ya makamu mwenyekiti kusema kuwa ushahidi wa Pesa za brother Duli kuwahonga viongozi wa CHADEMA ulithibitishwa ndani ya kikao cha kamati kuu na mjumbe mmoja ambaye sasa ni marehemu,

View attachment 3184684
Lissu amedai aliambiwa na mjumbe wa Kamati kuu hakusema kuwa ilithibitishwa ndani ya kikao cha jamati kuu.

Acha kugeuza maneno kwa manufaa yako.

Hajuna kikao cha kamati juu kilichothibitishiwa hayo unayodai.
 
Tangu alipompokea Lowassa chamani, sijawahi kumwamini Chairman Mao mwenye macho yenye makengeza kama kinyonga.
 
Uzuri wa Lissu ni msema kweli. Yaani watanzania mmechezewa sana na upinzani biashara wa akina Mbowe.

Safari hii ni ama upinzani wa kweli uzaliwe upya chini ya Lissu au watanzania waachane na SACCOS ya familia ya Mbowe na genge lake la watu wa system.
Naomba tusimalize maneno sana, wanasiasa ni ndumi la kuwili
 
Back
Top Bottom