Umeongea ukweli mkuuUzuri wa Lissu ni msema kweli. Yaani watanzania mmechezewa sana na upinzani biashara wa akina Mbowe.
Safari hii ni ama upinzani wa kweli uzaliwe upya chini ya Lissu au watanzania waachane na SACCOS ya familia ya Mbowe na genge lake la watu wa system.
Tukizingatia pia last week Lissu alisema walitaka kumuumiza zigo abebeshwe Mbowe.
Sativa ni mjumbe wa CC ya Chadema? 😂😂😂😂😂Kwahiyo mnataka kusema Sativa pia alikuwa anajua kuhusu fedha za Abdul?
Sijasema hivyo nisome vizuri plzSativa ni mjumbe wa CC ya Chadema? 😂😂😂😂😂
Wenje & Abdul walikwenda nyumbani kwa Lissu mwaka.Lissu akihojiwa clubhouse juzi aliulizwa swali kama kuna watu walikuwa wanafahamu ishu hiyo ya pesa za Abduli akasema kuna mjumbe mmoja wa kamati kuu ambaye kwa sasa ni marehemu aliithibitishia kamati kuu kuwa anayosema Lissu ni kweli!.
Sasa ni mjumbe mmoja tu wa kamati kuu aliyefariki baada ya kikao cha kamati kuu kujadili hizo pesa za Abduli, na mjumbe huyo ni mzee Kibao!
Wenje & Abdul walikwenda nyumbani kwa Lissu mwaka.
Ally Kibao kauwawa mwaka huu September 2024.
Lissu tangu mwaka 2023 alikuwa na taarifa zote za Abdul & Wenje.
Lissu kaanza kachukua form ya kugombea Makamu Mwenyekiti 2024.
Lissu kabadilika kaamua kuchukua form ya kugombea Mwenyekiti.Ina maana alikubali kuongozwa na Mbowe ghafla kaamua kuipigania nafasi ya kumwondoa Mbowe.
Chadema waliandaa maandamano kupinga mauaji ya Kibao.Nadhani Lissu na Mbowe ndio waliojitokeza wengine waliingia mitini.Mnyika alikimbilia Church.
Wakati haya yote yanafanyika Lissu alikuwa pamoja na viongozi wenzake,ghafla nafasi ya Mwenyekiti inamtoa imani anarusha jiwe giza wenzake wenzake wabebe zigo la lawama.
Ustaadh Yasin: Kisomo Cha Tanga kitawaumbua Watu wengi na mtashangaa sanaWenje & Abdul walikwenda nyumbani kwa Lissu mwaka.
Ally Kibao kauwawa mwaka huu September 2024.
Lissu tangu mwaka 2023 alikuwa na taarifa zote za Abdul & Wenje.
Lissu kaanza kachukua form ya kugombea Makamu Mwenyekiti 2024.
Lissu kabadilika kaamua kuchukua form ya kugombea Mwenyekiti.Ina maana alikubali kuongozwa na Mbowe ghafla kaamua kuipigania nafasi ya kumwondoa Mbowe.
Chadema waliandaa maandamano kupinga mauaji ya Kibao.Nadhani Lissu na Mbowe ndio waliojitokeza wengine waliingia mitini.Mnyika alikimbilia Church.
Wakati haya yote yanafanyika Lissu alikuwa pamoja na viongozi wenzake,ghafla nafasi ya Mwenyekiti inamtoa imani anarusha jiwe giza wenzake wenzake wabebe zigo la lawama.
Nawaambieni Mbowe ni mafia, Lissu kaamua liwalo na liwe. Yeye ni mmoja wa watu wasiojulikana. Halafu kusingizia polisi na CCM! Bora Lissu kaweka wazi.Lissu akihojiwa clubhouse juzi aliulizwa swali kama kuna watu walikuwa wanafahamu ishu hiyo ya pesa za Abduli akasema kuna mjumbe mmoja wa kamati kuu ambaye kwa sasa ni marehemu aliithibitishia kamati kuu kuwa anayosema Lissu ni kweli!.
Sasa ni mjumbe mmoja tu wa kamati kuu aliyefariki baada ya kikao cha kamati kuu kujadili hizo pesa za Abduli, na mjumbe huyo ni mzee Kibao!
Kwahiyo alikuwa anadanganya.Lissu akili kubwa, huenda alikuwa anapangua mashambulizi kijanja
Inshu ya duli itakua imemmaliza ogopa sana wanasiasaMkuu,
Kwa hiyo unataka kusema nini hapa? Mzee Ali Kibao kauawa na wasiojulikana kwa sababu ya kujua mengi issue ya Duli?
Wapiga kura mpeni lissu kura zoteNahisi Lissu asiposhinda hii nafasi ataibua mengi kuhusu CDM na takataka zake
Hata akikosa bado tutanufaika na mboga anazomwaga, acha FAM abaki na mradi wakeWapiga kura mpeni lissu kura zote