Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafuu ungetwangwa ngumi wewe mleta postBora amemtwanga ngumi na pia kumpeleka hospital hiyo ndio uanaume
nafurahia ndiyo kama anavaa kimini na akawa mwema wa roho...kuliko kuvaa hayo madude halafu akawa mshenzi...Kwa hiyo unafurahia kumuona Mama yako au Dada yako kavaa kimini?
Endelea kuwachukia dogo,,siku ukitoka hapo kwa shemeji yako utapata akiliMzee ana bifu na wanawake wa kiruguru kama mimi nilivyo na wale wanawake wa kiisilamu wanaovaa nikabu (ninja) haisee wale wanawake wengi wao ni watu wa hovyoo na akili kichwani hakuna ni heri uwe na ukaribu na mwanamke anaevaa kimini....ipo siku nikiwa vizuri nitawapa kituko walichonifanyia..
Upimwe akili Kwanza hujawahi hata kuwa na mke,,kwhy tabia za wanawake huzijui...hujui ht majukumu yako,,hawana akili wale....wengi wao wanavaa vile kuwaridhisha waume zao...na wakiachika huwa wanazivua hizo ninja..
Hawajuani hata kidogo basi tu mzee mawengeWanajuana hao
HawajuaniLabda ni watani hao
Mimi reporter tu nimepewa ubuyu wakati wa pf3Nafuu ungetwangwa ngumi wewe mleta post
Walijuana kwa kabilaHawajuani
Elewa kiswahili hawajuani kanisa bas tu wenge la mzeeWalijuana kwa kabila
Pole sana ndugu yangunafurahia ndiyo kama anavaa kimini na akawa mwema wa roho...kuliko kuvaa hayo madude halafu akawa mshenzi...
Labda kamfananisha na adui yake!!? Duniani wawili wawili!!!Hawajuani hata kidogo basi tu mzee mawenge
HhahahLabda kamfananisha na adui yake!!? Duniani wawili wawili!!!
si ukute alishawahi kutendwa na mwanamke wa kiruguru hadi haji kusahau.Imeripotiwa asubuhi hii 07 June 2022 huko Kigamboni!
Mzee mmoja ambaye jina lake bado halijafahamika! Leo asubuhi akiwa kama abiria kwenye bajaji maeneo ya kisiwani, alitokea abiria mwingine njiani, ambaye ni mwanamke akiwa kavaa vizuri tu mama wa watu, yule mzee akiwa abiria ndani alimkaribisha abiria huyo (mdada wa makamo) wakawa abiria watatu kwenye bajaji hiyo!
Yule mzee alipomaliza kusalimiana na yule abiria mpya, kwa maelezo ya dereva wa bajaji! Mzee akamuuliza yule abiria (mwanamke) wewe mama kabila gani!
Yule abiria mwanamke akajibu "mimi mruguru baba".
Aisee hapo hapo mzee alikuwa amekaa katikati yao wale abiria wawili wote wanawake!
Akamtifua ngumi ya USO yule mama akaanza kuvuja damu nyingi hadi kukimbizwa hospitali ya kisiwani kigamboni!
Cha kushangaza zaidi na yule mzee aliongozana kwenda kumpeleka hospital!
Taarifa zaidi nitawajuza (picha siyo hekima kumpiga picha mtu)
Ummy mwalimu yuko sahihi kwamba watu wapimwe akili akiwemo huyu mzee,
(Hawajuani lakini kampiga bila sababu )
Ndo ngumi sasa siyo poasi ukute alishawahi kutendwa na mwanamke wa kiruguru hadi haji kusahau.
ZarauUnakuwaje mluguru wewe?? Piga ngumi kubwa
Mzee ana Bifu kubwa na wanawake wa kiruguru aise hatari ndio maana mm sijitambulishagi kama muruguruMzee ana bifu na wanawake wa kiruguru kama mimi nilivyo na wale wanawake wa kiisilamu wanaovaa nikabu (ninja) haisee wale wanawake wengi wao ni watu wa hovyoo na akili kichwani hakuna ni heri uwe na ukaribu na mwanamke anaevaa kimini....ipo siku nikiwa vizuri nitawapa kituko walichonifanyia..