Mzee amtwanga ngumi ya uso abiria (Mwanamke) ambaye hawajuani pasipo sababu

Endelea kuwachukia dogo,,siku ukitoka hapo kwa shemeji yako utapata akili
 
hawana akili wale....wengi wao wanavaa vile kuwaridhisha waume zao...na wakiachika huwa wanazivua hizo ninja..
Upimwe akili Kwanza hujawahi hata kuwa na mke,,kwhy tabia za wanawake huzijui...hujui ht majukumu yako,,
 
si ukute alishawahi kutendwa na mwanamke wa kiruguru hadi haji kusahau.
 
Mzee ana Bifu kubwa na wanawake wa kiruguru aise hatari ndio maana mm sijitambulishagi kama muruguru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…