Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Kazi ipoDhuu huu mwaka tutaona mengi. Hadi midingi ilokuwa ime hybanet inajitokeza hadharani
Unataka kumpa kazi mkuu,mzee kasema hataki msaadaNileteeni Mzee kagere
Nileteeni Mzee kagere
Au nakosea Ndugu zangu.
Mzee amekuwa superstar tayari😂Hii noma 🤣 🤣 🤣
Hii nchi unaweza kabisa kuwa superstar bila ya kufanya kazi yoyote yenye tija kwenye jamii.Mzee amekuwa superstar tayari[emoji23]
Mzee mmoja kutoka Bukoba ambaye kwa sasa yupo hapa Dar es salaam anadai kwamba Mshambuliaji wa Simba SC Tanzania Meddie Kagere ni mwanae na anaomba uongozi wa @simbasctanzania umkutanishe na mwanae"
Ameenda mbali zaidi na kudai yupo tayari kwenda kupima naye DNA na atakuwa tayari kwa majibu yoyote, anadai hata huko mtaani jina lake la asili watu washaacha kumuita kwa sasa wanamuita Kagere
"Mimi sina shida na Mali zake,wala umaarufu wowote kutoka kwake,shida yangu aje nijue kama kagere ni Mwanangu au sio Mwanangu"
View attachment 1665104View attachment 1665114
Asilete hadithi ya ngamia kuomba hifadhi kwa kuingiza "kichwa" tu hemani! Yote juu ya Meddie kukubali au la!Mzee mmoja kutoka Bukoba ambaye kwa sasa yupo hapa Dar es salaam anadai kwamba Mshambuliaji wa Simba SC Tanzania Meddie Kagere ni mwanae na anaomba uongozi wa @simbasctanzania umkutanishe na mwanae"
Ameenda mbali zaidi na kudai yupo tayari kwenda kupima naye DNA na atakuwa tayari kwa majibu yoyote, anadai hata huko mtaani jina lake la asili watu washaacha kumuita kwa sasa wanamuita Kagere
"Mimi sina shida na Mali zake,wala umaarufu wowote kutoka kwake,shida yangu aje nijue kama kagere ni Mwanangu au sio Mwanangu"
View attachment 1665104View attachment 1665114
Kivipi? Ushabiki utakutoa roho mkuuHuyu mzee katumwa na GSM kuihujumu Simba
Ngoja hope atatujibu one dayYeye kagere baba yake mzazi anamtambua?
Kibongo bongo ameshakuwa superstar,Tz mambo kama haya yanawatoa watu,media zitamtafuta sana huyu dingiMzee tayar ameshatoka kimaisha
[emoji23][emoji23]Njaa mbaya Sana.