Naungana nawe kusubiri majibu!Huyu hakuwa amechanjwa? kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? why?
KISUTU KISUTU KISUTU, haya ni makaburi ya VIGOGO.
Ha ha haTafuta pesa ukazikwe kisutu tofauti na hapo costa zitakuhusu, utalala unatembezwa usiku kucha
Nami nipo kwenye list ya majibuNaungana nawe kusubiri majibu!
Pole kwa familia.
HayajaiKISUTU KISUTU KISUTU, haya ni makaburi ya VIGOGO.