The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Lakini wachimbaji ni watu wa kawaida sana yaani
Na pia mkumbushe pumzi ikisha kutoka, huu mwili unakosa thamani. Hizi mbwembwe tunafanya ni kwa ajili yetu wala sio marehem. Hivyo haijalishi utachomwa, utafukiwa, wataweka zege au kurudishia kifusi, ukweli ni kwamba haifaidii kitu.
When it's all been said and done, there is only one thing that matters, your relationship with the Creator, only that, the rest will mean nothing.