TANZIA Mzee ASAS (CEO wa ASAS Group of Companies) Alhaj Faraj Ahmed Abri, afariki dunia

TANZIA Mzee ASAS (CEO wa ASAS Group of Companies) Alhaj Faraj Ahmed Abri, afariki dunia

Ogopa chanjo. Waliochanjwa ndiyo wanakufa zaidi. Ila dunia kwa sababu ya ajenda zake inageuza hizi habari. In short herd immunity with vaccine is impossible kwa sababu virus ana mutate ndani ya muda mfupi. Ukishachoma mRNA based vaccine mwili wako unakuwa umeufanya kuwa na uwezo mdogo sana wa kinga. Be informed ndugu. Rejea Eden, ishi maisha ya kula vyakula bora na mazoezi
Lete ushahidi....
 
Mkuu sijakutenga nakuonaga sana kwenye comment zako. Huu ugonjwa wa Corona ni wa ajabu. Hata hapa Denmark hasa Copenhagen ndo unazidi. Sijui winter ikifika itakuwaje. Kila siku watu kumi hadi ishirini wanakufa na huu ugonjwa. Na idadi ya maambukizi inazidi. Jana zaidi ya 1000 waliopimwa wanayo.

Safari yangu ya kuwa millionaire ipo pale pale. Yani natamani sana. Sasa UVIKO nayo inapunguza kasi.

Mungu asaidie.
Winter is coming.
 
Hivi nani kasema huyu mzee kafariki kwa corona.?[emoji23][emoji23]. Yaani comments zote ni kama watu wanafahamu kafariki kwa nini. Wabongo bana![emoji23]
 
Hivi nani kasema huyu mzee kafariki kwa corona.?[emoji23][emoji23]. Yaani comments zote ni kama watu wanafahamu kafariki kwa nini. Wabongo bana![emoji23]
Ushauri wangu kwa wazee wetu walioko serikalini, bungeni , mahakamani na sekta binafsi .Epukeni Chanjo.Subirini Mungu mwenyewe awachukue.Siku ikifika imefika lakini msichokoze kwa kuchomwa Corona .Mirathi na vyeo vinatafutwa kwa nguvu .Na kikongwe kubamizwa is not a big deal kwa kizazi Cha leo

Mwenyezi Mungu aliyewahifadhi Hadi kufika umri na vyeo na Mali mlizonazo sio mjinga.Mwacheni Mungu aitwe Mungu na abaki Mungu

Muendako si mbali mlikotoka mbali lakini umri uliobaki mfupi Ni muda wa kuwa watu wa kusali na kumtegemea Mungu tu sio Chanjo ya wazungu

Silazimishi Ni ushauri tu
 
Huyu hakuwa amechanjwa? Kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? Why?
Kuna chanjo ya kifo siku hizi? Au chanjo gani unayoizungumzia wewe?
 
Huyu hakuwa amechanjwa? Kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? Why?
Acha hizo negative attitude zako kwa chanjo na chuki zako binafsi kwa serikali.

Vifo hivi vinatokana na uzembe uliofanywa na serikali katika kushugulika na korona baada ya kukataa sayansi na kuzingatia ushirikina.

Hakuna ushahidi wa waliochanjwa kufariki. Acha uongo na upotoshaji.
 
Kipindi Cha Magufuli hawakufa sababu ya maombi Mungu alisikia kipindi hiki hakuna Cha Mungu

Mungu kawa chanjo ya Corona!!!!

Huwezi sikia Raisi Samia anasema tuombe Mungu Ni tuombe msaada wa Chanjo zaidi kwa wazungu.Ndio yamegeuka maombi ya taifa
Acha uongo wewe. Mbona hata Magu mwenyewe ilimbeba? Kuna watu wengi sana walikuwa kwa korona wakuwemo viongozi wengi wa serikali!

Pengine,kama Magu angekuwa na mtizamo wa kisayansi dhidi ya korona badala ya ushirikina,tusingekuwa kwenye hali hii.
 
Mkuu naomba niwafungue akili watu kupitia hii comment yako.

Kabla ya covid 19 watu walikuwa wanakufa. Maana yake ni kuwa sio kila anaekufa sasa basi ni kwasababu ya uviko.

Uviko 19 upo na unaua kweli na sio kwamba unaua watu maarufu tu. Wanafariki watu wengi na sababu ya sisi kutokufahamu uhalisia wa mambo ni serikali kugoma kutoa takwimu za hali ya maambukizi na vifo nchini.

Hao watu maarufu ambao unaona kama ndio pekee wanaofariki sio picha halisi ya kinachoendelea. Hao ni asilimia ndogo sana ya watu wanaofariki (hawafiki hata asilimia moja. Less than 1%). Utofauti ni kuwa wao kutomana na umaarufu ndio wanapata coverage kwenye media na ndio kupelekea watu wengi kufahamu.

Covid ipo na inaua wakuu. Lakini sio wote wanaokufa basi ni covid.
[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Ushauri wangu kwa wazee wetu walioko serikalini, bungeni , mahakamani na sekta binafsi .Epukeni Chanjo.Subirini Mungu mwenyewe awachukue.Siku ikifika imefika lakini msichokoze kwa kuchomwa Corona .Mirathi na vyeo vinatafutwa kwa nguvu .Na kikongwe kubamizwa is not a big deal kwa kizazi Cha leo
Kweli Common Sense is not Common......
Ninanukuu maneno yako "Epukeni chanjo..."(ukimaanisha kwamba chanjo huenda ndio zinawauwa) "Subirini Mungu mwenyewe awachukue" (Okay kwahio hawa waliochanja sio Mungu anayewachukua, sawa nimekuelewa) "Siku ikifika imefika" (Sasa hapa ndio unaponichanganya kama siku ikifika imefika, si hata hao waliochanjwa siku imefika, au ya kwao ilikuwa haijafika ila walivyochanja ndio ikafika)

Mwenyezi Mungu aliyewahifadhi Hadi kufika umri na vyeo na Mali mlizonazo sio mjinga.Mwacheni Mungu aitwe Mungu na abaki Mungu
Kwahio aliamua kuwahifadhi mpaka muda huu, alafu akabadilisha mawazo ?, au siku ndio imefika
Muendako si mbali mlikotoka mbali lakini umri uliobaki mfupi Ni muda wa kuwa watu wa kusali na kumtegemea Mungu tu sio Chanjo ya wazungu

Silazimishi Ni ushauri tu
Chanjo ni za wazungu ?, Hii ndio imekuwa ya wazungu ?, Na zile za Polio, na nyingi zilizowahi kupita na kuokoa maisha ya watu zilikuwa za kina nani ?, Pia hata wewe umekatazwa kutengeneza chanjo ili kuwaokoa jamii inayokuzunguka, sababu kupiga kelele na kutoa lawama kwa watu wanaofanya jambo ili kunusuru wengine wakati wewe hufanyi ni kukosa Busara to Say the Least.
 
Huyu hakuwa amechanjwa? Kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? Why?
Chanjo ya Janssen inachukua takriban siku 14 hadi upate Kinga kamili. Kabla ya kupata chanjo na ndani ya hizo siku 14 unatakiwa kujikinga usipate uviko.

Sasa tujiulize; sababu ya kifo ni uviko? alipata chanjo(maana hamna ushahidi kwamba alipata)? aliipata lini? alipata uviko lini?
 
Huyu hakuwa amechanjwa? Kwanini vifo hivi vimeongezeka sana na maradufu na hasa kwa watu ambao tunajua fika kabisa wana access ya kuchanjwa haraka na kwa asilimia mia watakuwa wamechanjwa tena bila kusubiri hii ya bure? Why?
Hata wanaochanjwa wanakufa pia
 
Back
Top Bottom