Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunaita guilty conscience.BMW kwenye kitabu chake kagusa kila kitu cha minong'Ono.....
Hawezi kujuta asilani. Ni mwanamchama mtiifu kule. Ubinadamu ulishaondoka.JK alikuja akamnyang'anya mgodi wa Kiwira. Lakini huyu Mkapa alikuwa mtu mmoja mtata sana. Hadi leo hajuti kwa mauaji ya wananchi yaliyofanyika Mwembechai na Pemba.
Tunaita guilty conscience.
Kufanya biashara akiwa Ikulu, Kujimilikisha mgodi wa Kiwira, kujiuzia Nyumba, Mauaji ya Zanzibar, Uuzaji wa mashirika ya umma kwa kwa chee, ununuzi wa Rada na Mengineyo.!humo ndani ameelezea na namna aliyoziuza nyumba za umma?
manengero boss wangu tafuta pesa, mambo mengine utajitafutia kifafa tu na maradhi ya chembe moyo.
Sawa rafiki?
Mkuki na nyota Publishers.!
!
Huu Muhtasari Aliousoma Huyu Profesa Unapatikana Wapi?
Mkuki na nyota Publishers.
Anaonekana mtu asiye na amani kabisa nafsini mwake.Kufanya biashara akiwa Ikulu, Kujimilikisha mgodi wa Kiwira, kujiuzia Nyumba, Mauaji ya Zanzibar, Uuzaji wa mashirika ya umma kwa kwa chee, ununuzi wa Rada na Mengineyo.!