Mzee Butiku, kwanini umeifanya Taasisi ya Mwalimu Nyerere mali yako binafsi mpaka wafadhili wameisusa?

Mzee Butiku, kwanini umeifanya Taasisi ya Mwalimu Nyerere mali yako binafsi mpaka wafadhili wameisusa?

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.

Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.

Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.

Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.

Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
 
Nikweli huyu mzee anaiua hiyo taasis. Taasisi anayofanyia wife waliwahi kutaka kuwasapoti mradi fulani ila walishindwa kutokana na mambo waliyoyakuta huko, wakaacha. ILA JE, BUTIKU HARUHUSIWI KUTOA MAONI KWA UHURU KISA ANAIHARIBU TAASIS? Mjibuni kwa hoja
 
Mnatapatapa sana, Uzuri siku hizi mnaparurana wenyewe sio tena na wapinzani, Hapo ndio ngoma inaponoga kwa sie watazamaji
 
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.

Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.

Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.

Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.

Ni muda muafaka Sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
Tafadhali, tafuta agenda nyingine ya kumshambulia Mzee Butiku, kama unayo. Taasisi ya Mwalimu Nyerere inaheshimika hapa Tanzania kwanza na duniani, pia inaendeshwa na wasomi; ila inachagua nani wa kuidhamini kama Nyerere mwenyewe alivyokuwa anawakwepa Mafioso wa wakati wa uhai wake!
 
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.

Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.

Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.

Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.

Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
jibuni hoja acheni kushambulia wazee!
 
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.

Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.

Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.

Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.

Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
Umepata minyoo wa kichwani
 
Ataambiwa sio mtanzania muda SI mrefu. Wakati huo wazee wa Kodi na wapambanaji wa rushwa wanapiga zoezi
 
Back
Top Bottom