Mzee Butiku, kwanini umeifanya Taasisi ya Mwalimu Nyerere mali yako binafsi mpaka wafadhili wameisusa?

Mzee Butiku, kwanini umeifanya Taasisi ya Mwalimu Nyerere mali yako binafsi mpaka wafadhili wameisusa?

Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.

Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.

Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.

Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.

Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
Uko sahih sina shida na butiku ila itabidi nae apishe tumuweka mwingine yoyote yule si ajbu hyo taasisi akamridhisha mwanae
 
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.

Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.

Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.

Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.

Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
Takataka chiembe .....
Dodoki la chinembe!

Hauna akili zaidi ni kama unapambana na ukuta!

Kama Wanaomtetea Bashiru wanamuudhi Bwana yako,nenda chumbani mkafarijuane!

Kadri mnavyozidi kujitoa akili ndivyo mbavyoigawa CCM yenu.

Na bado soon Makovu ya Uchaguzi Mikoani yanakuja kukigawa vizuri CCM.
JamiiForums896815200.jpg
 
Lkn kweli Butiku njooo! huku unilipie Karo bana mie nahangaika weeeee taasisi ya Baba wa taifa langu ipo hai haiwezekani nitakuja hapo Butiama mwitingo niwavuruge????ooo!! hooo!
 
Tafadhali, tafuta agenda nyingine ya kumshambulia Mzee Butiku, kama unayo. Taasisi ya Mwalimu Nyerere inaheshimika hapa Tanzania kwanza na duniani, pia inaendeshwa na wasomi; ila inachagua nani wa kuidhamini kama Nyerere mwenyewe alivyokuwa anawakwepa Mafioso wa wakati wa uhai wake!
Basi km ni hivi??? wewe ni mnufaika!! ndo wkt wa kukta mirija yenu subiri tu!
 
Takataka chiembe .....
Dodoki la chinembe!

Hauna akili zaidi ni kama unapambana na ukuta!

Kama Wanaomtetea Bashiru wanamuudhi Bwana yako,nenda chumbani mkafarijuane!

Kadri mnavyozidi kujitoa akili ndivyo mbavyoigawa CCM yenu.

Na bado soon Makovu ya Uchaguzi Mikoani yanakuja kukigawa vizuri CCM. View attachment 2423939
Hiiiiii mbna balaa
 
Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.

Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.

Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.

Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.

Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
Wewe punguani wa kiwango cha rami
 
Lkn kweli Butiku njooo! huku unilipie Karo bana mie nahangaika weeeee taasisi ya Baba wa taifa langu ipo hai haiwezekani nitakuja hapo Butiama mwitingo niwavuruge????ooo!! hooo!
Butiku amegeuza taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwa "kikome" Cha kuota moto na kuchoma viazi, hakuna analofanya, haombi scholarship za vijana, hana grants kwa researchers ........wanaongea kizanaki tu Ofisi nzima
 
Basi km ni hivi??? wewe ni mnufaika!! ndo wkt wa kukta mirija yenu subiri tu!
Ni kweli mimi ni mnafaika wa elimu aliyoniwezesha Baba wa Taifa tangu mwaka 1957 wakati anadai uhuru nilipoingia darasa la kwanza hadi 1977 nilipopata shahada ya pili Mlimani. Hapa nipo ngangari kielimu na pia nina rekodi ya kiutendaji at world standards.
 
Ni kweli mimi ni mnafaika wa elimu aliyoniwezesha Baba wa Taifa tangu mwaka 1957 wakati anadai uhuru nilipoingia darasa la kwanza hadi 1977 nilipopata shahada ya pili Mlimani. Hapa nipo ngangari kielimu na pia nina rekodi ya kiutendaji at world standards.
Basi km ni ivo acha wengine nao wanufaike kupitia hayo! ya marekebisho kumbuka kuna mjukuu wako nae atakuja huko mbele! wkt weye umesha vuta!ataitaka huduma hii usitetee km kipofu! na

wkt ule alikuwa ni Nyerere mwenyewe live akifanya maboresho lkn sasa ni kivuri cha nyerere ndo tunakisemea na nchi ilikuwa haina wasomi! km leo!
 
Ni kweli mimi ni mnafaika wa elimu aliyoniwezesha Baba wa Taifa tangu mwaka 1957 wakati anadai uhuru nilipoingia darasa la kwanza hadi 1977 nilipopata shahada ya pili Mlimani. Hapa nipo ngangari kielimu na pia nina rekodi ya kiutendaji at world standards.
1957 uliwrzeshwa kielimu, halafu ukaanza darasa la kwanza 1977, maweee, iiiwee
 
Back
Top Bottom