Utaula wa chuya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 495
- 1,344
pumbafu wewe ccm majumbani hakuna umeme tunalala gizani, maji hakuna bidhaa zinapanda bei, huduma za afya mbovu. Siku mkitolewa hakuna rangi mtaacha kuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahih sina shida na butiku ila itabidi nae apishe tumuweka mwingine yoyote yule si ajbu hyo taasisi akamridhisha mwanaeTaasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.
Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.
Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.
Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.
Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
Takataka chiembe .....Taasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.
Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.
Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.
Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.
Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
Basi km ni hivi??? wewe ni mnufaika!! ndo wkt wa kukta mirija yenu subiri tu!Tafadhali, tafuta agenda nyingine ya kumshambulia Mzee Butiku, kama unayo. Taasisi ya Mwalimu Nyerere inaheshimika hapa Tanzania kwanza na duniani, pia inaendeshwa na wasomi; ila inachagua nani wa kuidhamini kama Nyerere mwenyewe alivyokuwa anawakwepa Mafioso wa wakati wa uhai wake!
Hiiiiii mbna balaaTakataka chiembe .....
Dodoki la chinembe!
Hauna akili zaidi ni kama unapambana na ukuta!
Kama Wanaomtetea Bashiru wanamuudhi Bwana yako,nenda chumbani mkafarijuane!
Kadri mnavyozidi kujitoa akili ndivyo mbavyoigawa CCM yenu.
Na bado soon Makovu ya Uchaguzi Mikoani yanakuja kukigawa vizuri CCM. View attachment 2423939
Mjibu Dr. Bashiru
Wewe punguani wa kiwango cha ramiTaasisi ya Mwalimu Nyerere ilitarajiwa iwe nzito, reference point kwenye tafakuri za kikanda na nchi.
Mambo ni tofauti, taasisi hii imegeuka ni mti wa huyu Mzee wa Butiama kuota jua wakati huu wa uzee wake.
Haina mvuto, ipoipo tu inavizia matukio ya kisiasa, hesabu zake hazijakaguliwa miaka tele.
Haina uongozi madhubuti wenye maono na vipindi maalum.
Ni muda muafaka sasa kuitupia jicho, kuna dalili za upigaji humo, ndio maana wenye maono wanaikwepa
Butiku amegeuza taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwa "kikome" Cha kuota moto na kuchoma viazi, hakuna analofanya, haombi scholarship za vijana, hana grants kwa researchers ........wanaongea kizanaki tu Ofisi nzimaLkn kweli Butiku njooo! huku unilipie Karo bana mie nahangaika weeeee taasisi ya Baba wa taifa langu ipo hai haiwezekani nitakuja hapo Butiama mwitingo niwavuruge????ooo!! hooo!
Ni kweli mimi ni mnafaika wa elimu aliyoniwezesha Baba wa Taifa tangu mwaka 1957 wakati anadai uhuru nilipoingia darasa la kwanza hadi 1977 nilipopata shahada ya pili Mlimani. Hapa nipo ngangari kielimu na pia nina rekodi ya kiutendaji at world standards.Basi km ni hivi??? wewe ni mnufaika!! ndo wkt wa kukta mirija yenu subiri tu!
Basi km ni ivo acha wengine nao wanufaike kupitia hayo! ya marekebisho kumbuka kuna mjukuu wako nae atakuja huko mbele! wkt weye umesha vuta!ataitaka huduma hii usitetee km kipofu! naNi kweli mimi ni mnafaika wa elimu aliyoniwezesha Baba wa Taifa tangu mwaka 1957 wakati anadai uhuru nilipoingia darasa la kwanza hadi 1977 nilipopata shahada ya pili Mlimani. Hapa nipo ngangari kielimu na pia nina rekodi ya kiutendaji at world standards.
NakaziaMjibu Dr. Bashiru
1957 uliwrzeshwa kielimu, halafu ukaanza darasa la kwanza 1977, maweee, iiiweeNi kweli mimi ni mnafaika wa elimu aliyoniwezesha Baba wa Taifa tangu mwaka 1957 wakati anadai uhuru nilipoingia darasa la kwanza hadi 1977 nilipopata shahada ya pili Mlimani. Hapa nipo ngangari kielimu na pia nina rekodi ya kiutendaji at world standards.
Una tatizo la uelewa! Singependa kukueleza zaidi.1957 uliwrzeshwa kielimu, halafu ukaanza darasa la kwanza 1977, maweee, iiiwee