BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ajabu sana."Hili jambo la bandari limeshakwenda serikalini na bungeni, raia tukaulizwa maswali kidogo na tukajibu. Baada ya hapo jambo hili la bandari lilirudi bungeni na kupitishwa na Bunge. Kwa mujibu wa utaratibu wa kikatiba, limeshapitishwa na hivyo ni la kutekeleza. Hivyo sasa wanaposema tuzungumze, tuzungumze kitu gani?" Joseph Butiku, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Majaliwa ni mtu mwongo sana"Hili jambo la bandari limeshakwenda serikalini na bungeni, raia tukaulizwa maswali kidogo na tukajibu. Baada ya hapo jambo hili la bandari lilirudi bungeni na kupitishwa na Bunge. Kwa mujibu wa utaratibu wa kikatiba, limeshapitishwa na hivyo ni la kutekeleza. Hivyo sasa wanaposema tuzungumze, tuzungumze kitu gani?" Joseph Butiku, Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere
Anamfuataje!?Sasa ni wakati saa 100 amfuate Jiwe.
Alichotufanyia Watanganyika hakikubaliki
Utaona tu jinsi atakavyomfuataAnamfuataje!?
Usijidanganye. Kamwe CCM haiwezi kuondoka madarakani kwa uchaguzi wa siasa au kutokana na kukosa kura kwenye uchaguzi wa siasa. Usitarajie Jambo hilo kutokea hapa Tz.Aiseeh! Kumbe mambo tayari
Ccm inawachora tu wananchi wanavyobweka!
Anyway waTz 2025 sio mbali sasa hivi ni zamu ya waTz kuishangaza ccm hili chozi lilipwe!
Kuondoka inaweza ila sio kwa juhidi ya nyie keyboard warriors mitaani suala la bandari halipo kabisa.Usijidanganye. Kamwe CCM haiwezi kuondoka madarakani kwa uchaguzi wa siasa au kutokana na kukosa kura kwenye uchaguzi wa siasa. Usitarajie Jambo hilo kutokea hapa Tz.
Ungepata kunifahamu wala hata usingeniita kwamba Mimi ni "keyboard warrior", ila nakupa pole sana kwa hilo. "Wenzako" wananifahamu vizuri sana, tena sana tu, natumaini watakujulisha vizuri ya kunihusu.Kuondoka inaweza ila sio kwa juhidi ya nyie keyboard warriors mitaani suala la bandari halipo kabisa.
Mbona CCM hujaipundua mpaka leo kama wewe ni mkali, badala ya kupambana mambo muhimu ya taifa kama katiba rule of law, eti unapambania bandari....Ungepata kunifahamu wala hata usingeniita kwamba Mimi ni "keyboard warrior", ila nakupa pole sana kwa hilo. "Wenzako" wananifahamu vizuri sana, tena sana tu, natumaini watakujulisha vizuri ya kunihusu.