Mzee Butiku: Ukipigania haki unaingia kwenye misukosuko

Mzee Butiku: Ukipigania haki unaingia kwenye misukosuko

Kwa maoni yako ni kwamba unamfunga mdomo asiongee!
Umempiga vijembe mzee wa watu kiaina ilhali ametumia haki yake ya kikatiba.
Hapana simfungi mdomo, ila nasema kachelewa. Waliiona CCM na nchi vinapotea njia hawakusema, sasa tuko tusipo na tumekwama hata wakiongea hawasaidii.

Huko ccm hawana sauti tena, siyo wajumbe wa NEC, wala chombo chochote cha maamuzi, wao nao wanalalamika kama sisi.

Walikuwa na mamlaka kuzuia tusifike huku tuliko lakini waliacha tu, sasa hata wakiongea hakuna anayewasikiliza hiyo haki yao wanajichosha tu. Wanaongea kwenye media, ccm gani anajali? Serikalini ndiyo kabisaa wanasema hao ni wanasiasa, unadhani wana ongea na nini sasa?
 
Tena wao ndiyo walitengeneza hii mifumo ya kipumbavu
Na wanapo lalama sijui huwa wanamlalamikia nani, au wana mwambia nani? Huko ccm hawana sauti tena, serikalini hawana sauti, wao ni kama sisi tu.

Hwana mamlaka kukanya, kubadili au kuzuia, sasa kwanini wajichoshe bila sababu.

Hawaendi bungeni, hawanasauti kule CCM wala Serikalini.
 
Huu ushauri wako siyo sahihi hata kidogo.

Maadam hawa wazee wapo mlangoni kuelekea kwingine, hawa ndio wanao takiwa kupiga kelele zaidi badala ya kupumzika unakowataka wafanye.
Hawa hawana chochote cha kupoteza.
Sasa hawasikilizwi na yeyote, siyo CCM, Siyo Bunge wala Serikali. sasa wanaongea na nani au kelele wanampigia nani Siye? Bora wangekuwa na cha kupoteza labda wangesikilizwa, kwasasa ndiyo wanaonekana makapi kabisa.
 
Tatizo.la Butiku,Warioba,Dk Salim wanaibudu zaidi CCM kisiasa wanaonakabisa mambo yakiharibika ila wanauma na kupuliza!.
Sasa hata kuuma hawana meno labda wapulize tu mwanzo mwisho, Hawana nguvu CCM, Bungeni wala Serikalini. Hawasikilizwi na yeyote. Wanajitutumua tu waonekane lakini waliishapotezwa.
 
Na wanapo lalama sijui huwa wanamlalamikia nani, au wana mwambia nani? Huko ccm hawana sauti tena, serikalini hawana sauti, wao ni kama sisi tu.

Hwana mamlaka kukanya, kubadili au kuzuia, sasa kwanini wajichoshe bila sababu.

Hawaendi bungeni, hawanasauti kule CCM wala Serikalini.
Walidhani watabaki kwenye system milele
 
Sasa hawasikilizwi na yeyote, siyo CCM, Siyo Bunge wala Serikali. sasa wanaongea na nani au kelele wanampigia nani Siye?
Bora wangekuwa na cha kupoteza labda wangesikilizwa, kwasasa ndiyo wanaonekana makapi kabisa.
Kelele watupigie siye. Hilo ndilo la muhimu zaidi kuliko mengine yote uliyo yataja.

Siye ndiwe waamuzi wa mwisho. Tukisikiliza hayo makelele yao, tunaamua kipi cha kufanya.
 
Mzee Joseph Butiku amesema watu wote wanaliopigania haki wamepata misukosuko kutokana na tabia za binadamu kutojali haki za wengine. Amesema kuwa haki za binadamu zina misukosuko kutokana na kwamba wapo wanaozitaka na wasiozitaka, ni tabia ya binadamu apate yeye, ukose wewe. Ameongeza kuwa ukishatengeneza Serikali na ukawapa watu nafasi , katika mfumo wa uchoyo uliokithiri mwingine atataka apate zaidi, wewe usipate.

Ameshauri kwamba Taifa lazima ling'ang'anie misingi iliyowekwa ya kupigania haki ili kuhakikisha haki hizo zinapatikana.

View attachment 2822949
Mzee wetu butiku yupo sahihi ila ni kauli wasioipenda uvccm, cz wao huamin wapigania haki wanatumiwa na mabeberu 🤣🤣
 
Back
Top Bottom