Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maendeleo hayana chuchu saa 6#Mewata 😁😂
Hapana ninao wa hivyo.. ni swala la simu moja tu 😀😀😀Pole unakula kwa macho tu
Hapana kula mayai siwezi aisee.. uhuni wangu una mipaka 😀😀😀Ungekuwa mzee wayne ingekuaje.....ungekula mayai?
Prof pic yako ni balaaa ni wewe huyo auKumfahamu kivip?
Chuchu Ndiyo Kile Chama Cha Dr Njelekeranini hii mkuu?
Mbona hata mimi nakutamani inamaana nakukula kwa maandishi tu??Pole unakula kwa macho tu
Kuna ka zawadi kake hapa.. sio kwa mshape huo 😃😃😃
Teh teh we nakuaminia hunaga jamKuna ka zawadi kake hapa.. sio kwa mshape huo [emoji2][emoji2][emoji2]
Reginae Carter nilimuona kwa mara ya kwanza kwenye Lil Wayne MTV Crib alikuwa mdogo sana.Katika kusherekea siku ya kuzaliwa mtoto mkubwa wa mzee wyne alipiga mapigo ya kina miss eliot ,eve na queen latifa,mitindo pendwa ya mavazi miaka ya 1990-2005 huko.
View attachment 1649056
Mzee carter anamlea binti yake kwa maadili mema sana kupita kiasi,usiulize maswala ya widi na usela nondo wake wewe elewa ana malezi bora sana kwa wanae, anajumla ya watoto wa tano,
Reginae carter,cameron carter,dwayne carter III na neal carter.
Tumcheki tu, apate zawadi yakeTeh teh we nakuaminia hunaga jam
Mpatie zawadi aise
Ova