matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,951
Mwenye kumfahamu vizuri uyu Mzee Chapuo anayetangaza ndani ya kipindi cha Maskani Times Fm kinachoongozwa na Kapt Gadna G Habash atufahamishe.
Nimemsikia juzi na leo kwenye kipindi,naweza kusema uyu mtu ni kichwa haswa,na 'star' mpya kwenye game ya utangazaji wa 'ucheshi' lakini ameibuka ghafla mno binafsi sijui lolote kuhusu background yake,na uzoefu wake kwenye hii tasnia.mwenye kumfahamu atujuze haswa mimi binafsi ambaye nimetokea kumkubali.
Nb:ukiona matumbo kamkubali mtu, ujue uyo mtu ni mkali haswa.
Nimemsikia juzi na leo kwenye kipindi,naweza kusema uyu mtu ni kichwa haswa,na 'star' mpya kwenye game ya utangazaji wa 'ucheshi' lakini ameibuka ghafla mno binafsi sijui lolote kuhusu background yake,na uzoefu wake kwenye hii tasnia.mwenye kumfahamu atujuze haswa mimi binafsi ambaye nimetokea kumkubali.
Nb:ukiona matumbo kamkubali mtu, ujue uyo mtu ni mkali haswa.