Mzee Cleopa Msuya naye ataka Katiba Mpya

Mzee Cleopa Msuya naye ataka Katiba Mpya

Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya , leo amefika kwenye Kikosi Kazi cha Rais cha kukusanya maoni yanayohusu Katiba Mpya , Ambapo Mzee huyo HAKUMUNG'UNYA MANENO , AMEWAPASULIA WAZI WAJUMBE WA KIKOSI KAZI HICHO KWAMBA KATIBA MPYA NI SASA HIVI .

Mzee Msuya amesema kwamba ifike wakati sasa tuhitimishe jambo hili ili tuendelee na mambo mengine , badala ya kila mwaka kuzungumzia jambo hilohilo tu.

Chanzo: Mwananchi.

Ujumbe: Kama hawa Wazee wamechoshwa na danadana hizi za akina Pinda na Mukandala, WEWE NI NANI HATA UPINGE KATIBA MPYA?
Katiba mpya ni muhimu Ili kuzuia kuja kupatikana kwa viongozi mataahira kama wa awamu ya 5..
 
Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya , leo amefika kwenye Kikosi Kazi cha Rais cha kukusanya maoni yanayohusu Katiba Mpya , Ambapo Mzee huyo HAKUMUNG'UNYA MANENO , AMEWAPASULIA WAZI WAJUMBE WA KIKOSI KAZI HICHO KWAMBA KATIBA MPYA NI SASA HIVI .

Mzee Msuya amesema kwamba ifike wakati sasa tuhitimishe jambo hili ili tuendelee na mambo mengine , badala ya kila mwaka kuzungumzia jambo hilohilo tu.

Chanzo: Mwananchi.
Duh Wazee wamechafukwa.
 
Hawa wazee wanatengeneza tu mambo yao ila kama bado ndio zama katu wasingetoa kauli kama hizi.

After all kamati hizi kwakweli ni kwa ajili ya watu fulani tu.

Sidhani kama wananchi wa kawaida wanashirikishwa?

Ila kwakweli bila elimu katiba mpya ni makaratasi yasiyokuwa na msaada wowote.

Kama mwananchi hatakuwa na elimu ya kumpa ufahamu basi atashindwa kumuwajibisha kiongozi wake kutimiza matakwa ya katiba.

Elimu kwanza katiba ifuate.
 
Hawa wazee wanatengeneza tu mambo yao ila kama bado ndio zama katu wasingetoa kauli kama hizi.

After all kamati hizi kwakweli ni kwa ajili ya watu fulani tu.

Sidhani kama wananchi wa kawaida wanashirikishwa?

Ila kwakweli bila elimu katiba mpya ni makaratasi yasiyokuwa na msaada wowote.

Kama mwananchi hatakuwa na elimu ya kumpa ufahamu basi atashindwa kumuwajibisha kiongozi wake kutimiza matakwa ya katiba.

Elimu kwanza katiba ifuate.
Ngoja katiba mpya ije kwanza mengine baadaye
 
Amesemaje kuhusu suala la muungano..mana hapo ndio mi kijani inataka kurogea nchi

#MaendeleoHayanaChama
 
Looo Mzee Msuya naye he got his voice back, kweli tulikuwa tunapita kipindi cha giza, ushetani, ukatili etcetera
Hawa wazee wakati wao hawakuitaka Katiba mpya. Sasa karibia wanaiaga dunia ndio wanaisemea Katiba. Hawa wazee hawa jamani
 
Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya , leo amefika kwenye Kikosi Kazi cha Rais cha kukusanya maoni yanayohusu Katiba Mpya , Ambapo Mzee huyo HAKUMUNG'UNYA MANENO , AMEWAPASULIA WAZI WAJUMBE WA KIKOSI KAZI HICHO KWAMBA KATIBA MPYA NI SASA HIVI .

Mzee Msuya amesema kwamba ifike wakati sasa tuhitimishe jambo hili ili tuendelee na mambo mengine , badala ya kila mwaka kuzungumzia jambo hilohilo tu.

Chanzo: Mwananchi.

Ujumbe: Kama hawa Wazee wamechoshwa na danadana hizi za akina Pinda na Mukandala, WEWE NI NANI HATA UPINGE KATIBA MPYA?
Alafu Zitto Kabwe na chawa wake kina Nondo,hawataki Katiba MPYA wao wanataka tume huru.
 
Wakati mwingine maoni ya hawa vigogo wastaafu yanaangalia utashi wa rais anataka nini? Kama hataki katiba mpya na wao hawataki kusema kinyume na mwenyekiti wao wa chama ambaye pia ni rais. Haya maoni ni ya kinafiki tu wala hayana uhalisia
 
Pumbafu wewe, unafikiri urais wa awamu ya tano ulikuwa wa kuokota kama wa awamu ya 6? Katiba izuie urais wa kuokota.
Katiba isuie Urais wa mataahira,majizi na kuokota..

Urais wa majizi nani anautaka fala wewe 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220719-125637.png
    Screenshot_20220719-125637.png
    151.1 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220719-125402.png
    Screenshot_20220719-125402.png
    54.7 KB · Views: 4
  • 1650491737485.png
    1650491737485.png
    60.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    Screenshot_20220415-140726_1.jpg
    49.3 KB · Views: 5
  • Screenshot_20220415-072852.jpg
    Screenshot_20220415-072852.jpg
    122 KB · Views: 4
Hawa wazee wakati wao hawakuitaka Katiba mpya. Sasa karibia wanaiaga dunia ndio wanaisemea Katiba. Hawa wazee hawa jamani
Uoga wa asili wa sisi watanzania, tumejaa unafiki mkubwa na tuna lalama tu kwenye hizi key board's
 
Hivi vikosi kazi ni njia mojawapo ya upigaji tu. Hangaya hana uwezo wa kuipa Tanzania katiba mpya.
 
Back
Top Bottom