Waziri Mkuu Mstaafu Cleopa Msuya , leo amefika kwenye Kikosi Kazi cha Rais cha kukusanya maoni yanayohusu Katiba Mpya , Ambapo Mzee huyo HAKUMUNG'UNYA MANENO , AMEWAPASULIA WAZI WAJUMBE WA KIKOSI KAZI HICHO KWAMBA KATIBA MPYA NI SASA HIVI .
Mzee Msuya amesema kwamba ifike wakati sasa tuhitimishe jambo hili ili tuendelee na mambo mengine , badala ya kila mwaka kuzungumzia jambo hilohilo tu.
Chanzo: Mwananchi.
Ujumbe: Kama hawa Wazee wamechoshwa na danadana hizi za akina Pinda na Mukandala, WEWE NI NANI HATA UPINGE KATIBA MPYA?