TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Tukirudisha umri wa marehemu miaka 33 nyuma,tunakutana na kichwa cha habari mzee wa Miaka 50 afikishwa mahakamani kwa kosa la kubaka kitoto kichanga cha mwaka mmoja.
 
Atafufuliwa kila moja juu lile alilofia juu yake.
Hakuna kupumzika huko
 
Inasemwa wapi, Tanzania watu wanazikaga tuu bila hata taarifa kuwafikia hao maDR au police. Unakuta mtu kafa asubuhi kazikwa jioni hila hata kujua labda alikuwa kazimia tuu
 
Mungu amsamehe huko aendako,, Mimi Sio daktari,, lakini VIAGRA hizi ni mtihani mkubwa,,,
Tangu mwanzo wakati nasoma tu huu uzi akili yangu ikaanza kusense kwenye Viagra. Sio mchezo. Mzee alitaka pesa yake iende ki halali,,, Siku hizi wenzie wanatumia "Vumbi la Congo", Viagra wameshaishitukia, hakunywa maji ya kutosha huyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…