Polisi waongo sana, sio wa kuwaamini hata kidogo linapokuja swala la pesa
Usikute ilikua laki tatu na elfu sabini lakini wamepindua meza kibabe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi waongo sana, sio wa kuwaamini hata kidogo linapokuja swala la pesa
Ujuzi hauzeekiBabu ana haki ya kufa
Vijana wa sasa wamekalia kula supu ya pweza, mihogo mibichi kwa kipisi cha nazi eti kubusti stata! Asilimia kubwa ni kaputi ndiyo sababu mabinti wanakimbilia wazee.Neema Kibaya inawezekana akapata kesi ya kuua bila kukusudia.
Sababu kama ana akili timamu atakuwa alijua kabisa mzee wa miaka 80 hatoweza kumudu mikiki yake, sasa kwa nini amkubalie?
Unforgetable
Ufunuo 14:13Mzee David Makerege (80) amepoteza uhai akiwa kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es salaam
Mwili wa Mwendazake huyo mkazi wa Goba mwenye umri wa miaka 80 ulikutwa bila uhai ndani ya chumba namba 22 cha Hoteli hiyo ya Mbezi Garden
Polisi wamethibitisha tukio hilo na kusema ndani ya chumba walimkuta mpenzi wake mwenye umri wa miaka 33 aendaye kwa jina la Neema Kibaya
Aidha imeelezwa kuwa mwili huo haukuwa na majeraha yeyote na umeshapelekwa Hospital ya Mwananyamala kwa Uchunguzi zaidi
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika
Tukamuwekeye dhamana mzee jirani yanguNeema kaleta majanga badala ya Neema!🤗🤗🤗
View attachment 1680671
Kweli utandawazi umeharibu maadili.......huyu mzee akiwa na miaka 47 huyu binti ndio anazaliwaAFANDE RPC (R)RCO(R)STAFF OFFICER (R)OPP OFFICER (R)OCD MABWEPANDE
YAH: TUKIO LA KIFO CHA MASHAKA
GBA/IR/142/2021
MLAL: O.A.MSHANGAMA - ASP
Mlalamikaji anaeleza kuwa mnamo tarehe 16/1/2021 majira ya saa 18:00hrs akiwa kituo cha polisi Mabwepande alipokea taarifa toka kwa incharge CID Goba A/Insp. Gwake kuwa huko Mbezi Makonde katika hoteli ya Mbezi Garden kuna mteja amefariki chumbani(x)
Taarifa kamili ni
Kwamba mnamo tarehe 16/01/2021 majira ya saa 17:55hrs huko goba kituo cha polisi(x) a/insp.gwake mwakapande alipokea taarifa toka kwa meneja wa hoteli ya mbezi garden aitwaye Newton s/o Simkonda, Mnyiha, 44yrs, Mkristo, Meneja, mkazi wa Ukonga Majohe(x)kuwa huko Mbezi Garden hotelini kwake katika wlaya ya kipolisi Mabwapande na mkoa wa Kinondoni kuna mteja amefariki dunia chumbani alipokodi akiwa na mwanamke wake(x)baada ya taarifa hiyo kupokelewa Mkuu wa Upelelezi Mabwepande pamoja na I/C CID Goba walifika eneo la tukio na kumkuta mwanamke aitwaye Neema d/o Kibaya, Mpare, 33yrs, biashara, Mkristo, mkazi wa Goba Marobo aliyekuwa na marehemu na (x) kueleza kuwa alifika hotelini hapo leo tarehe 16/01/2021majira ya saa 15:00hrs walipokuwa wamekubaliana wakutane na kumkuta marehemu ameshachukua chumba namba 22 akiwa na maji na juice(x)
Baada ya kufika aliweza kuagiziwa chips na mishikaki mitatu na marehemu(x) akiwa anasubiria chips hizo huku wakiwa wanaendelea maandalizi ya tendo la ngono(x) ghafla alimwona marehemu akipumua kwa shida ndipo akatoka kwenda mapokezi kuomba msaada(x)baada ya taarifa wahudumu waliongozana na uongozi wa hoteli walifika na kumkuta marehemu haongei na hafanyi chochote huku akiwa ametoa macho ambapo uongozi wa hoteli ulibaini kuwa mteja wao amefariki dunia (x) ndipo meneja akachukua jukumu la kuwajulisha polisi ambapo walifika eneo la tukio.
Katika uchunguzi wa awali uliofanyika mwili wa marehemu haujakutwa na jeraha lolote (x). Katika upekuzi marehemu alikutwa na simu aina ya tecno na pesa Sh. 37,000/=na kitambulisho cha mpiga kura na kuweza kumtambua kwa jina la Davis Makerege Mabeba, Mluli, 80yrs, Mkristo, mkazi wa Goba kwa Ndambi(x)mwanamke aliyekuwa na marehemu chumbani anashikiliwa kituo cha polisi goba kwa mahojiano(x)tukio limekaguliwa na OC CID Mabwepande O. A Mshangama ASP akisaidiana na Incharge CID Goba A/Insp. Gwake pamoja na timu ya makachero (x)
Mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguzi (x) taarifa kituoni na Newton S/O Simkonda na kupokelewa na J 92 PC Inocent leo 16/01/2021 saa18:44hrs(x) fcr maendeleo zitafuata(x)
-Mwisho-
Toka Crime Mabwepande
====
David Makerege (80) Mkazi wa Goba Dar es salaam amefariki Dunia akiwa kwenye Hotel ya Mbezi Garden (chumba No.22), January 16,2021, Polisi Kinondoni wamethibitisha.
“Kwenye chumba hicho tulimkuta pia Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Kibaya (33) ambaye ameeleza kuwa Marehemu alikuwa ni Mpenzi wake”- POLISI
“Uchunguzi wa awali umeonesha mwili hauna jeraha lolote, baadaye mwili ulipelekwa Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya uchunguzi zaidi na hifadhi” -POLISI
View attachment 1680143View attachment 1680144
Sent using Jamii Forums mobile app
33yrs vs 80yrs![emoji15]Nina uhakika kabisa huyo mwanamke ni Miss Natafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
KunaE- Wallet siku hizi.Elfu 35?
Sijui chumba alishalipa?
Nauli ya mrembo?
Matumizi wakiwa hapo? Beer, soda maji nk?
Posho ya kumpa mrembo?
Vyote ndani ya elfu 35 tu?
Mshana Jr. Ondoa picha hizi kwani zinaweza kukutia matatani.AFANDE RPC (R)RCO(R)STAFF OFFICER (R)OPP OFFICER (R)OCD MABWEPANDE
YAH: TUKIO LA KIFO CHA MASHAKA
GBA/IR/142/2021
MLAL: O.A.MSHANGAMA - ASP
Mlalamikaji anaeleza kuwa mnamo tarehe 16/1/2021 majira ya saa 18:00hrs akiwa kituo cha polisi Mabwepande alipokea taarifa toka kwa incharge CID Goba A/Insp. Gwake kuwa huko Mbezi Makonde katika hoteli ya Mbezi Garden kuna mteja amefariki chumbani(x)
Taarifa kamili ni
Kwamba mnamo tarehe 16/01/2021 majira ya saa 17:55hrs huko goba kituo cha polisi(x) a/insp.gwake mwakapande alipokea taarifa toka kwa meneja wa hoteli ya mbezi garden aitwaye Newton s/o Simkonda, Mnyiha, 44yrs, Mkristo, Meneja, mkazi wa Ukonga Majohe(x)kuwa huko Mbezi Garden hotelini kwake katika wlaya ya kipolisi Mabwapande na mkoa wa Kinondoni kuna mteja amefariki dunia chumbani alipokodi akiwa na mwanamke wake(x)baada ya taarifa hiyo kupokelewa Mkuu wa Upelelezi Mabwepande pamoja na I/C CID Goba walifika eneo la tukio na kumkuta mwanamke aitwaye Neema d/o Kibaya, Mpare, 33yrs, biashara, Mkristo, mkazi wa Goba Marobo aliyekuwa na marehemu na (x) kueleza kuwa alifika hotelini hapo leo tarehe 16/01/2021majira ya saa 15:00hrs walipokuwa wamekubaliana wakutane na kumkuta marehemu ameshachukua chumba namba 22 akiwa na maji na juice(x)
Baada ya kufika aliweza kuagiziwa chips na mishikaki mitatu na marehemu(x) akiwa anasubiria chips hizo huku wakiwa wanaendelea maandalizi ya tendo la ngono(x) ghafla alimwona marehemu akipumua kwa shida ndipo akatoka kwenda mapokezi kuomba msaada(x)baada ya taarifa wahudumu waliongozana na uongozi wa hoteli walifika na kumkuta marehemu haongei na hafanyi chochote huku akiwa ametoa macho ambapo uongozi wa hoteli ulibaini kuwa mteja wao amefariki dunia (x) ndipo meneja akachukua jukumu la kuwajulisha polisi ambapo walifika eneo la tukio.
Katika uchunguzi wa awali uliofanyika mwili wa marehemu haujakutwa na jeraha lolote (x). Katika upekuzi marehemu alikutwa na simu aina ya tecno na pesa Sh. 37,000/=na kitambulisho cha mpiga kura na kuweza kumtambua kwa jina la Davis Makerege Mabeba, Mluli, 80yrs, Mkristo, mkazi wa Goba kwa Ndambi(x)mwanamke aliyekuwa na marehemu chumbani anashikiliwa kituo cha polisi goba kwa mahojiano(x)tukio limekaguliwa na OC CID Mabwepande O. A Mshangama ASP akisaidiana na Incharge CID Goba A/Insp. Gwake pamoja na timu ya makachero (x)
Mwili wa marehemu umehifadhiwa Hospitali ya Mwananyamala kwa uchunguzi (x) taarifa kituoni na Newton S/O Simkonda na kupokelewa na J 92 PC Inocent leo 16/01/2021 saa18:44hrs(x) fcr maendeleo zitafuata(x)
-Mwisho-
Toka Crime Mabwepande
====
David Makerege (80) Mkazi wa Goba Dar es salaam amefariki Dunia akiwa kwenye Hotel ya Mbezi Garden (chumba No.22), January 16,2021, Polisi Kinondoni wamethibitisha.
“Kwenye chumba hicho tulimkuta pia Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Neema Kibaya (33) ambaye ameeleza kuwa Marehemu alikuwa ni Mpenzi wake”- POLISI
“Uchunguzi wa awali umeonesha mwili hauna jeraha lolote, baadaye mwili ulipelekwa Hospitali ya Mwananyamala kwa ajili ya uchunguzi zaidi na hifadhi” -POLISI
View attachment 1680143View attachment 1680144
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu gani?Ukisikia kufa kwa aibu ndio huku sasa[emoji1783]
Huyu babu atakuwa na vilembwe na vilembwekeze kabisa lkn ameenda kufia kwenye kifua cha binti[emoji23]
Tukamuwekeye dhamana mzee jirani yangu
Dadek, hiyo mbezi garden ipo mbezi ipi? Morogoro road au bagamoyo road?Neema kaleta majanga badala ya Neema!🤗🤗🤗