Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakula cha 10 au 20.. january hii pesa sio ya mchezo mchezoNdio tusaidiane sasa huyu mwali angempa bei gani na mimi nimejiuliza hilo swali
Nataka iphone 11Ndio ipo mahabusu sasa ikanyee ndoo.. ikitoka ipate akili
Miaka 80? Umri umekwenda ajipumzikie tu kwa amani. Mwanamama bado ni kijana mzee hajawezana
Hahahaha...sisi wengine wazushi[emoji23][emoji23][emoji23]Ila miw aisee najua kujali.. ndio maana wana niganda [emoji3][emoji3][emoji3]
Utafute pesa utumie ujanani ukisema utumie uzeeni utafia gesti ma elfu 37 na simu ya tecno w 4Walume wenzangu tutafute pesa.
Hizo 37,000/=?Mchawi PESA mkuu
👍👍Kama ana nguvu za kiume kwanini alazie damu utamu 🤣🤣🤣🤣 na chanzo cha kifo kinaweza kabisa kuwa ni ugonjwa wa kubanwa mbavu AKA COVID-19.
Polisi wachunguze vyema hii keai watusaidie vijanah ...Hizo 37,000/=?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alafu mfukoni ana elfu 37..Yaani unaona kabisa umri umeenda unaenda kuchukua toto kama hiyo wakati una presha una kisukari unashushia na viagra unataka nini wewe kama sio kufia gesti.
Tumuombe Mungu atupe mwisho mwema wa maisha yetu.
Yaleyale ya waziri mstaafu mwishoni mwa mwaka jana, mwendokasi.Mzee David Makerege (80) amepoteza uhai akiwa kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es salaam
Mwili wa Mwendazake huyo mkazi wa Goba mwenye umri wa miaka 80 ulikutwa bila uhai ndani ya chumba namba 22 cha Hoteli hiyo ya Mbezi Garden
Polisi wamethibitisha tukio hilo na kusema ndani ya chumba walimkuta mpenzi wake mwenye umri wa miaka 33 aendaye kwa jina la Neema Kibaya
Aidha imeelezwa kuwa mwili huo haukuwa na majeraha yeyote na umeshapelekwa Hospital ya Mwananyamala kwa Uchunguzi zaidi
Taarifa zaidi kutolewa na Mamlaka husika
Miaka 33 ni mingi kwa 80! Alitakiwa achukue 18Kumbe vizee vinapenda dogo dogo duh