TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

Apumzike kwa Amani!

Kweli huyo binti hapo kwa picha ndio alikua anaenda kulala na huyo Mzee?!?

Such a waste of beauty for the girl and a life lived for the old man! Ubatili mtupu!

Pole sana kwa mke wa marehemu na familia, Muumba awape uvumilivu mumsitiri mwendazake bila kinyongo maana amewavua nguo!

Sad!

Huyo binti kanisikitisha mno! Mno!
Si anataka kuhongwa vijana hawatoi hela[emoji23][emoji23]
Acha apambane na hali yake

Ova
 
Apumzike kwa Amani!

Kweli huyo binti hapo kwa picha ndio alikua anaenda kulala na huyo Mzee?!?

Such a waste of beauty for the girl and a life lived for the old man! Ubatili mtupu!

Pole sana kwa mke wa marehemu na familia, Muumba awape uvumilivu mumsitiri mwendazake bila kinyongo maana amewavua nguo!

Sad!

Huyo binti kanisikitisha mno! Mno!
Ni katika harakati za kusaka iphone 12 mkuu! Wanapitia magumu sana hawa dada zetu
 
Back
Top Bottom