Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
🤣🤣🤣nzi kafia "pembeni mwa kidonda"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣nzi kafia "pembeni mwa kidonda"
Vijana tunakwama wapi?
Doooh!!Bado mzee ndosi .. ana miaka 70 + anakula vitoto vya miaka 25 . Anakaa kibaha. Lodge anaenda kutafuta tabata. Juzi kamtumia demu wangu 70,000 alafu anajifanya kakosea namba. Naamini siku zake na yey zinahesabika
Kutoka wapi?Mshana Jr amerejea!
Wanawake wanasema vijana bahiri hawajui ku care [emoji23][emoji23][emoji23]Mchawi PESA mkuu
Si anataka kuhongwa vijana hawatoi hela[emoji23][emoji23]Apumzike kwa Amani!
Kweli huyo binti hapo kwa picha ndio alikua anaenda kulala na huyo Mzee?!?
Such a waste of beauty for the girl and a life lived for the old man! Ubatili mtupu!
Pole sana kwa mke wa marehemu na familia, Muumba awape uvumilivu mumsitiri mwendazake bila kinyongo maana amewavua nguo!
Sad!
Huyo binti kanisikitisha mno! Mno!
Tatizo hamtoi helaNimeumia roho pisi kali kama iyo natamani ingekuwa naimiliki mimi
Wanawake kutwa kutaka helaLipo la kujifunza kwa vijana haiwezekani mdada mzuri namna hiyo kimuonekano kuwa na mahusiano na mzee wa miaka 80 huku vijana mumejaa tele. Teh.
Toto Sotojo 😋😋😋Babu ana haki ya kufa
Waache tamaaSikia kwa jirani,uwiiii huyo binti kazi anayo[emoji134]
Ndio tusaidiane sasa huyu mwali angempa bei gani na mimi nimejiuliza hilo swali
Yani kwa kweliWaache tamaa
Ova
Watu mna Mambo et Bei ganiNdio tusaidiane sasa huyu mwali angempa bei gani na mimi nimejiuliza hilo swali
[emoji23][emoji23][emoji23]nzi kafia "pembeni mwa kidonda"
Alikuwa ashamuonga sana ukuteNdio tusaidiane sasa huyu mwali angempa bei gani na mimi nimejiuliza hilo swali
Ni katika harakati za kusaka iphone 12 mkuu! Wanapitia magumu sana hawa dada zetuApumzike kwa Amani!
Kweli huyo binti hapo kwa picha ndio alikua anaenda kulala na huyo Mzee?!?
Such a waste of beauty for the girl and a life lived for the old man! Ubatili mtupu!
Pole sana kwa mke wa marehemu na familia, Muumba awape uvumilivu mumsitiri mwendazake bila kinyongo maana amewavua nguo!
Sad!
Huyo binti kanisikitisha mno! Mno!