mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Mchawi PESA mkuuBabu anakula vitu za mavijana sijui vijana tunakwama wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchawi PESA mkuuBabu anakula vitu za mavijana sijui vijana tunakwama wapi
Heri ya mwaka mpya mkuu!
Ila na hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu. Kweli Babu wa miaka 80 anavuliwa chupi na binti wa miaka 33? Tofauti ya miaka 47? Kweli kiama kije tu wajameni.Yaani unaona kabisa umri umeenda unaenda kuchukua toto kama hiyo wakati una presha una kisukari unashushia na viagra unataka nini wewe kama sio kufia gesti.
Tumuombe Mungu atupe mwisho mwema wa maisha yetu.
Ni kweli. Ukisoma vizuri, gemu ilikuwa haijaanza. Walikuwa kwenye maandalizi. Bila shaka babu alibugia Viagra. Sasa umri+Viagra+presha+kisukari=kifo.Yaani unaona kabisa umri umeenda unaenda kuchukua toto kama hiyo wakati una presha una kisukari unashushia na viagra unataka nini wewe kama sio kufia gesti.
Tumuombe Mungu atupe mwisho mwema wa maisha yetu.
. Hawa wazee wa siku hizi hawana dogoHivi kumbe babu wa 80yrs anaweza kupiga game!😳
cc: Chakorii
33yrs vs 80yrs!😳Nina uhakika kabisa huyo mwanamke ni Miss Natafuta 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Dogodogo awe na chura!🚶🚶🚶Ni huakika zaidi
Iko siku pia yatakukuta
Mzee
Behaviorist 🐸
Unapenda dogodogo😂🤣
Elfu 35?Polisi waongo sana, sio wa kuwaamini hata kidogo linapokuja swala la pesa
Wazee wa vijijini wanapiga show fresh hao wa mjini mpk vumbi la mundendeViagra vinahusika hapa.
Ila wazee nao!
Yani mpaka leo hawataki kukubali matokeo!
🤣🤣🤣Dogodogo awe na chura!🚶🚶🚶