TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

hicho kiasi cha hela kilichokutwa, siamini sana
 
Hata huyu dada watawekaje picha yake? na ni nani huyu aliyetoa hizi picha maana sio za katika tukio utasema labda mtu kawapiga picha. kuna kitu hapa hakiko sawa.
Wote wako kwenye mitandao ya kijamii mzee anaaccount za fb zaidi ya tano
 
Wamawake nyie sahv mnawakimbia vijana mnafata wazee mnasema vijana hawatoi hela
Na wakati wa kupiga show wanasimamia baiskeli!
Sahv mtapata kesi sana nyie [emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23] asee noma sana

Bado kesi ya yule bilionea mrusi na yule dada Zanzibar [emoji134]

Hata mambo ndo yanatrend now
 
Kumbe ndio maana Babu kata moto,, nilikuwa sijaiona picha ya mrembo,, duh!! Itakuwa Babu presha ilipanda baada ya kufunuliwa na kutengewa mzigo live,, mapigo ya moyo yaka-stuck
 
Tumeni Instagram yake huyo Binti, mimi binafsi siamini kama ana miaka 33, kwa anavyoonekana hajazidi miaka 25..
 
Hata huyu dada watawekaje picha yake? na ni nani huyu aliyetoa hizi picha maana sio za katika tukio utasema labda mtu kawapiga picha. kuna kitu hapa hakiko sawa.
Mbezi Makonde sio mbali kiasi hicho, Polisi wametoa majina yao hapo, unafikiri hamna watu wanaowajua mkuu? Hamna watu wanaokaa karibu yao? Hao ndo itakuwa wametoa hizi taarifa
 
Tukubali matokeo tu. Ila wanaume tujitahidi kula msosi wa maana kabla ya kwenda kudinya. Kunasiku kidogo niumbuke, unakunywa mirinda nyeusi alafu unataka upige show kweli au juice ya azam embe ya 700.
Ahaaaahaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
taarifa inasema ilikua bado ila nahisi ilikua tayari siamini mwanaume akose pumzi wakati wa kuchezeana .itakua mzee ali pump
Sasa Lucas, kibabu cha miaka 80 unahisi kinaweza kufanya maandalizi gani yy mqenyewe ...huyo mzee itakuwa alinyonywa pipe mapigo ya moyo yakaongezeka yakatokea ya kutokea
 
Mbezi Makonde sio mbali kiasi hicho, Polisi wametoa majina yao hapo, unafikiri hamna watu wanaowajua mkuu? Hamna watu wanaokaa karibu yao? Hao ndo itakuwa wametoa hizi taarifa
Huyo binti anaonekana wa kishua, imekuwaje akubali kuliwa na mzee umri wa Babu yake. Kwa ahadi y’a elfu thelathini tu??.
 
Huyu Mzee kila nikimwangalia kama namjua vile. Kama ni Dom itakuwa namjua.
Alikuwa Daktari wa mifugo Mkoa wa DODOMA na alikuwa na mgahawa pale mji mpya akiuuza maziwa fresh yasiyotiwa maji na mke wake alikuwa mama mmoja mrefu mnene na binti yake Suzy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…