TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

kwahiyo ulitaka atembee na maburungutu ya pesa πŸ˜€ labda anafanya malipo kupitia simu yake
 
Jamani mtu kukutwa na shiling 37000 haimaanishi kuwa Hana pesa nyingene,,wengine huifadhidhi pesa zao benk na wengine huweka kwenye simu
 
Ila na hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu. Kweli Babu wa miaka 80 anavuliwa chupi na binti wa miaka 33? Tofauti ya miaka 47? Kweli kiama kije tu wajameni.
Miaka 15 iliyopita huyu binti aliingia utu uzima!..Au umesahau baolojia?Adabu ni mtizamo..R.I.P. Mzee wa Mbezi.
 
Hahahah wale wauza iphone chakavu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!!
Kumbe wale ma sister du nao wapo kikazi aisee. Sikujua hilo chief.
 
Mzigo ni 370,000/- polisi kafuta sifuri moja, zikabaki 37,000/-
 
Hajui ni jinsi gani virungu/vichwa vidogo vinavyosumbua nyie!!??
muda wote vinatamani kukaa kwenye mashimo malini yenye joto......
tungesema siku moja tuwaazime haya magegedo mngechanganyikiwa nyie.....
mnaongea tu kwasababu hamjui hali halisi!

Umeumbwa kuyatawala mazingira (your sensory organs included) na sio mazingira yakutawale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…