Deo Castory
JF-Expert Member
- Jun 6, 2018
- 242
- 757
Miaka 16Una umri gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 16Una umri gani?
Dah aisee Inzi Kafia kwenye Kidonda.Hivi huyu mtoto kati ya 37,000 iliyobaki angepata mgao wa shingapi[emoji848]View attachment 1681375View attachment 1681376View attachment 1681377
Bro hujaiona? Check post namba 651.Picha ya Mrembo wapi sasa?
ila mwamba Kavuta kiume.
Nimeona ya mwamba tu😳Bro hujaiona?
funluverxHivi huyu mtoto kati ya 37,000 iliyobaki angepata mgao wa shingapi[emoji848]View attachment 1681375View attachment 1681376View attachment 1681377
Duuh demu ana bunyengo ya hatari......
Pengine Mzee alikuwa anakula mali kauli.Alikuwa ashamuonga sana ukute
Ova
Hahaha labda alilipa kwanza lakini pale Mbezi Garden nina hakika hakuna room ya 20 pale
kwahiyo ulitaka atembee na maburungutu ya pesa 😀 labda anafanya malipo kupitia simu yakeMzee wa miaka 80 alienda kupiga kazi ya miaka 33 huku akiwa na 37,000 mfukoni baada ya chipsi na mishkaki 3.
Inasemwa kwamba daktari ndiye anaweza declare mtu kufariki, hivyo huu uongozi wa gesti kudai uligundua mteja wao amefariki na kuamua kutaarifu polisi ni move sahihi kweli?
As walitumia kipimo gani? Achana na muvi ule mtindo wa kusikiliza kifua... Mimi naona na mtu aliyetoa taarifa ya kifo angehojiwa pia.
umejuaje kua hakua na hela nyingine zaidi ya hiyo 37000?? Mkuu watu Wanaweka pesa zao kwenye simu na sio kutembeza na maburungutu ya pesa....Hivi huyu mtoto kati ya 37,000 iliyobaki angepata mgao wa shingapi[emoji848]View attachment 1681375View attachment 1681376View attachment 1681377
Miaka 15 iliyopita huyu binti aliingia utu uzima!..Au umesahau baolojia?Adabu ni mtizamo..R.I.P. Mzee wa Mbezi.Ila na hawa mabinti wa siku hizi hawana adabu. Kweli Babu wa miaka 80 anavuliwa chupi na binti wa miaka 33? Tofauti ya miaka 47? Kweli kiama kije tu wajameni.
Hahahah wale wauza iphone chakavu 😂😂😂!!!Wewe jamaa unanifurahisha sana hasa pale unapoanza kuponda wenye maduka ya simu hapa makumbusho [emoji23][emoji23][emoji23] halafu nimegundua kitu wale madada wanaoshinda mule ndani kuanzia asubuhi huwa wanatega mabwana ukute @witnesj ni moja ya wale mabinti [emoji23]
Hajui ni jinsi gani virungu/vichwa vidogo vinavyosumbua nyie!!??
muda wote vinatamani kukaa kwenye mashimo malini yenye joto......
tungesema siku moja tuwaazime haya magegedo mngechanganyikiwa nyie.....
mnaongea tu kwasababu hamjui hali halisi!